Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Huko ulikoenda SikoToka siku ile nashuhudia Sakho anafunga goli alafu anashangilia kizombie vile nikaunganisha na tukio la kukamwatwa na sembe kwa kocha wenu nimeamini wachezaji wa Simba alikuwa wanatumia sembe na ndio maana saizi asilimia 90 yao wameshuka viwango ghafla!!
Mabeki wanamuogopa bhana ! kama goli la kwanza dhidi ya Mbeya City , lile goli gani aisee ?Kama ni rahisi kafunge na wewe.
Hiyo ni picha tuKwa hyo mnamfananisha mayele na haaland?.
Kweli bangi ni adui wa afya ya akili
Mayele huyu huyu au mwingine?ππππ
Huyu mayele msimu unaokuja kuna timu itakuja mnunua tu.
Huyu huyu unayemwona anawatesa magolikipaMayele huyu huyu au mwingine?
Kuna dawa kapuliziwa machoni alipoenda congo kwao juzi nasikia makipa wakimwangalia usoni wanaona ukungu π π π πHuyu huyu unayemwona anawatesa magolikipa
Phili ndio nani? Hivi mbona tunajizimaga data kwenye hizi herufi zetu pendwa.Komaeni na Phili
Sio kweli bhana jamaa anajua sana kujiweka kwenye nafasi na ndo maana unaona kama anafunga magoli kirahisi na ndo hapo anapowazidi wengine.Kuna dawa kapuliziwa machoni alipoenda congo kwao juzi nasikia makipa wakimwangalia usoni wanaona ukungu π π π π
Just kiddin.. ni wakati wake na yeye acha afanye kabla wakati haujamtupa mkono. Walikuwepo kina Bocco kina Kagere wakachuja so ni vyema kutumia wkt wako ipasavyo.Sio kweli bhana jamaa anajua sana kujiweka kwenye nafasi na ndo maana unaona kama anafunga magoli kirahisi na ndo hapo anapowazidi wengine.
Sema mtani umekua mpole sana saiviππ umepunguza kabisa make yako.Just kiddin.. ni wakati wake na yeye acha afanye kabla wakati haujamtupa mkono. Walikuwepo kina Bocco kina Kagere wakachuja so ni vyema kutumia wkt wako ipasavyo.
Weeee !!Kuna dawa kapuliziwa machoni alipoenda congo kwao juzi nasikia makipa wakimwangalia usoni wanaona ukungu [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji38][emoji38] hivi Sarpong kaishia wapi ?Sa kama watu mlikuwa na striker anaitwa sarpong na yikpe huyu si mnamuona mungu kabisa??