OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Mchezaji wa zamani wa Yanga Fiston Mayele ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya Pyramids fc. kwa sasa anazungumziwa kumfuata kocha wake wa zamani Nasreddine Nabi. Nabi ambapo kwa sasa ni kocha wa mkuu wa Kaizer Chiefs.
Hii habari ni ya imeendelea kushika kazi kwenye mitandano ya kijamii ya huko Afrika Kusini south.Nabi anataka kuja kivingine?
Au ni mikono ya Hersi kuwafufua kaizer chiefs?
Hii habari ni ya imeendelea kushika kazi kwenye mitandano ya kijamii ya huko Afrika Kusini south.Nabi anataka kuja kivingine?
Au ni mikono ya Hersi kuwafufua kaizer chiefs?