Fiston Mayele na magoli ya mchongo

Fiston Mayele na magoli ya mchongo

ROOM 47

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2022
Posts
2,301
Reaction score
7,460
Huyu jamaa kwa magoli ya mchongo anaongoza kwenye ligi yetu, yaani bila GSM kununua makipa au mabeki plus makocha ni hovyoo kabisa. cheki hapa chini mtu aliyemshindwa last msimu wa 2021/2022 yeye yupo nafasi ya pili kutoka chini halafu yeye kilaza Mayele yupo nafasi ya kwanza tena kwa magoli 10 halafu the fighter George Mpole ana goli 2.

Mr Mayele acha mambo ya kumtegemea GSM mpaka anunue mechi ndiyo ushinde, pambana kama the king general Moses Phir. Halafu pesa zetu za kodi mnanunulia magoli, hovyooo kabisaa!

Screenshot_20221129-091335.png
 
Huyu jamaa kwa magoli ya mchongo anaongoza kwenye ligi yetu yaani bila GSM kununua makipa au mabeki plus makocha ni hovyoo kabisa... cheki hapa chini mtu aliyemshindwa last msimu wa 2021/2022 yeye yupo nafasi ya pili kutoka chini alafu yeye kilaza Mayele yupo nafasi ya kwanza tena kwa magoli 10 alafu the fighter George Mpole ana goli 2...
Mr Mayele acha mambo ya kumtegemea GSm mpaka anunue Mechi ndo ushinde pambana kama the king general Moses phir...........
Alafu pesa zetu za kodi mnanunulia magoli hovyooo kabisaa ......View attachment 2430479
Huu nao ni wivu mpya kivipi anategemea kununuliwa kwa makipa? Just show us evidence tuamini kuwa ni kweli anategemea kutengenezewa kwasababu Kila anaeangalia mpira anaona watu wanavyojituma kutafuta goli na goli Huwa linapatikana kwa makosa ya wachezaji pinzani
 
Huu nao ni wivu mpya kivipi anategemea kununuliwa kwa makipa? Just show us evidence tuamini kuwa ni kweli anategemea kutengenezewa kwasababu Kila anaeangalia mpira anaona watu wanavyojituma kutafuta goli na goli Huwa linapatikana kwa makosa ya wachezaji pinzani
Hujamwelewa vyema.
 
Huyu jamaa kwa magoli ya mchongo anaongoza kwenye ligi yetu, yaani bila GSM kununua makipa au mabeki plus makocha ni hovyoo kabisa. cheki hapa chini mtu aliyemshindwa last msimu wa 2021/2022 yeye yupo nafasi ya pili kutoka chini halafu yeye kilaza Mayele yupo nafasi ya kwanza tena kwa magoli 10 halafu the fighter George Mpole ana goli 2.

Mr Mayele acha mambo ya kumtegemea GSM mpaka anunue mechi ndiyo ushinde, pambana kama the king general Moses Phir. Halafu pesa zetu za kodi mnanunulia magoli, hovyooo kabisaa!

View attachment 2430479
Acha ushabiki wa kishamba unajua Mpole amecheza game ngapi hadi muda huu? Mwaka juzi Boko aliibuka top scorer Kwa goals 16 mwaka Jana hata goals 5 hakufikisha unafikiri kuwa na consistency ya kufunga kila msimu ni rahisi?
 
Kila msimu unapoa anza Kwa mechi ya Ngao ya Jamii inaonyesha Aishi Manula na Simba uwa timu za kwanza kuhongwa[emoji3][emoji3]
 
Oya weeh PRINCE DUBE sukari yenu unamuona au unajipofua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu jamaa kwa magoli ya mchongo anaongoza kwenye ligi yetu, yaani bila GSM kununua makipa au mabeki plus makocha ni hovyoo kabisa. cheki hapa chini mtu aliyemshindwa last msimu wa 2021/2022 yeye yupo nafasi ya pili kutoka chini halafu yeye kilaza Mayele yupo nafasi ya kwanza tena kwa magoli 10 halafu the fighter George Mpole ana goli 2.

Mr Mayele acha mambo ya kumtegemea GSM mpaka anunue mechi ndiyo ushinde, pambana kama the king general Moses Phir. Halafu pesa zetu za kodi mnanunulia magoli, hovyooo kabisaa!

View attachment 2430479
Naona heroine imeshapanda kichwani.
 
Kama kawaida ni lawama bila ushahidi blah blah blah.

Kama wananunua walishindwa nini kununua mechi ya mwisho na mtibwa mayele atupie hat trick awe top scorer?

Inaonekama watanzania wengi tumelelewa katika wivu, chuki, kutokubali uwezo wa wenzetu na kutunga uongo Ili waonekane hawafanyi lolote la maana.
 
Ila mbona mnakua na mihemko?? Yani mi sio Utopolo ila nimemwelewa sana mleta mada.. mleta mada ni Yanga amejaribu kuleta hoja kivinginee ila nyie hamjui lugha ya picha... duu mmeshapanick ni kumvagaa.
Kweli wenye akili ni wa2
 
Kama kawaida ni lawama bila ushahidi blah blah blah.

Kama wananunua walishindwa nini kununua mechi ya mwisho na mtibwa mayele atupie hat trick awe top scorer?

Inaonekama watanzania wengi tumelelewa katika wivu, chuki, kutokubali uwezo wa wenzetu na kutunga uongo Ili waonekane hawafanyi lolote la maana.
Yani Kuna watu wanafikra tofauti kweli mtu akifaulu aah amesaidiwa yule(ushahidi Hana) Sasa maombi Yao afeli, chuki + wivu inatufanya tuzitumikie Imani za kishirikina mpaka anaefanikiwa anaamini siwezi survive inabidi nikajikinge nazo. Hizi issue hazihitaji uadui hata kama ni phiri mpe haki yake anajua kama ni mayele mpe pia
 
Kama kawaida ni lawama bila ushahidi blah blah blah.

Kama wananunua walishindwa nini kununua mechi ya mwisho na mtibwa mayele atupie hat trick awe top scorer?

Inaonekama watanzania wengi tumelelewa katika wivu, chuki, kutokubali uwezo wa wenzetu na kutunga uongo Ili waonekane hawafanyi lolote la maana.
tulia soma vizuri uzi..... mtoa mada hapo anaongeza kwa 'jokes... aka kinyume chake.... kwa kifupi anamsifia mayele..
 
Yani Kuna watu wanafikra tofauti kweli mtu akifaulu aah amesaidiwa yule(ushahidi Hana) Sasa maombi Yao afeli, chuki + wivu inatufanya tuzitumikie Imani za kishirikina mpaka anaefanikiwa anaamini siwezi survive inabidi nikajikinge nazo. Hizi issue hazihitaji uadui hata kama ni phiri mpe haki yake anajua kama ni mayele mpe pia
huyo jamaa yenu kaengea kwa mafumbo...hapo anamsifia mayele huku akikebehi mpole.. someni uzi vizuri ndo....
 
Back
Top Bottom