Fistula ni pale sehemu mbili za mwili unapounganishwa na kamfereji kidogo. Mfano ni kama zamani ulikuwa na jipu ambalo lilikamuliwa na kupona. Sasa ile sehemu ya ndani ya jipu bado inaunganika na nje kwa mfereji mwembamba ambao unaitwa Fistula.
Ama mwanamke akiwa amepata uchungu muda mrefu bila ya kujifunguwa inasababisha ile ngozi nyembamba inayo tenganisha njia ya haja kubwa na vaginal canal kukosa damu na kuharubika. Au pia hiyo pressure ya mtoto kwenye kibofu cha mkojo na kufanya hiyo ngozi nyembamba kuoza. Vyote hivi vinasababisha kuunganika kwa kibifu cha mkojo au njia ya haja kubwa kuunganika na kusababisha fistula.
VVF- Vesicle Vaginal Fistula ni kuunganika vaginal canal na kibofu. Kwa hiyo atavuja mkojo kutoka vaginal canal bila ya stop. Very ambarasing to a woman.
RVF - Recto Vaginal Fistula. Mwanamke atakuwa anapitisha kinyesi toka vaginal canal. Mbaya sana.
Tiba ni kufanyiwa repair. Sio operation kubwa sana na inarudisha hadhi na confidance ya mwanamke.
Kinga ni kuzuia prolonged labours kwa induction. Kama pelvice hai acomodate basi C/S haraka iwezekanvyo kwa kuplan kabla.