Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
NonesenseWanatakiwa wadesign namna ambayo hiyo michezo italeta kick kiasi cha serikali kuona ngoja itie nguvu kama ilivyotia nguvu kwenye soka.
Ila kiukweli serikali inakomaa na soka zaidi,na ni baada ya soka kufanya vizuri kimataifa kuliko hapo nyuma kidogo.
Biashara united ilishindwa kusafiri kwenda Libya kiss nauli.
Nonsense ndio sahihi,ondoa hiyo herufi e baada ya NonNonesense
Waliompa uwaziri Ndumbaro haifahamiki walitumia vigezo ganiNdumbaro mpuuzi Sana, mtu kasema ukweli anamtishia kumbe alipofungiwa TFF walikuwa sahihi.