Mmmhhh I see. Hiyo ni kwa sababu sijafanya mazoezi yaniingizie kipato.Mleta mada unaonekana ni mtu usiyejiamini na huna msimamo thabiti!
Mada yako inajieleza kabisa,mara ushike hiki kisha uache and then unapata mtu anakuinspire kisha unarudi tena halafu unaacha tena mara unarudi tena!!
Kua na msimamo na muamuzi ni wewe usikubali mtu akupangie cha kufanya au kucontroll ur life..
Samahani lakini mkuu.
Uchumi mzuri hapana, unachohitaji ni chakula. Labda kama unataka uwe level za mister Tanzania ndani ya miezi nane hapo ndiyo uchumi utahusika kwa kua utataka kununua supplements.Mazoezi yanahitaji uwe na chakula na uchumi mzuri vinginevyo utakuwa unajichosha bure.pili sehem yenye walimu wazuri ndipo panatozwa pesa.uswahilini hata bafu hakuna na pengine unapanda daladala
hahaha tumbo la chini wakati wa 'kilimo kwanza' inabidi uliinue ili shaft iendelee na kazi yake....mazoez muhimu sana aisee.No sijafika huko nasitafika manyama ya pembeni yanakuwa kama kitabu oghhhh! yanaharibu mwonekano sana .kitumbo cha kujifungua kipo kwa mbali nataka kujua namna ya kupambana nacho.mbona mazoezi ya kukimbia hayakimalizi jamani
Mkuu ukisikia tumbo la chini tu unakumbuka 'kilimo kwanza'[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1]hahaha tumbo la chini wakati wa 'kilimo kwanza' inabidi uliinue ili shaft iendelee na kazi yake....mazoez muhimu sana aisee.
btw; i like my girls sporty!