Five chapter za social science PHD thesis huu mjadala kweli

Five chapter za social science PHD thesis huu mjadala kweli

Mayor Quimby

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2021
Posts
4,950
Reaction score
10,977
Yaani mtu uliesoma mpaka A level haya masomo ya biashara yasitaka hesabu au social science ukafunzwa jinsi ya kufanya research mtu mwenye Phd ya hizo fields anakutisha kweli.

Kiwango cha elimu ya watanzania kitakuwa duni kweli.

Surely if you know how to do research tayght from A level provided you have an idea kufyatua dissertation/ thesis ya maneno 10000 mpaka 60000 the skill is the same.

That is to say wengine kusoma huu ujinga wa kutukuza watu wenye hizi PHD za social na kutumia nguvu kupinga vitu rahisi vinachosha na kuonyesha ujinga wa watanzania.

Phd ya social science mtu wa maana the nonsense is beyond me nani mwenye degree ya kweli hawezi andika akiamua.

Hakuna vitu vinakera kama kutukuza vitu rahisi.
 
Ni ujinga sana

Kila mtu anataka kuwa na PhD sifa za kijinga tuu nje ya ajira hawez kujiajir

Ana lia lia kama utopolo
 
Yaani mtu uliesoma mpaka A level haya masomo ya biashara yasitaka hesabu au social science ukafunzwa jinsi ya kufanya research mtu mwenye Phd ya hizo fields anakutisha kweli.

Kiwango cha elimu ya watanzania kitakuwa duni kweli.

Surely if you know how to do research tayght from A level provided you have an idea kufyatua dissertation/ thesis ya maneno 10000 mpaka 60000 the skill is the same.

That is to say wengine kusoma huu ujinga wa kutukuza watu wenye hizi PHD za social na kutumia nguvu kupinga vitu rahisi vinachosha na kuonyesha ujinga wa watanzania.

Phd ya social science mtu wa maana the nonsense is beyond me nani mwenye degree ya kweli hawezi andika akiamua.

Hakuna vitu vinakera kama kutukuza vitu rahisi.
Ishu hasa ni nini mkuu?

Naona kama vile umeandika kwa haraka haraka sana
 
Ishu hasa ni nini mkuu?

Naona kama vile umeandika kwa haraka haraka sana
Ushasoma hawa watu wenye Phd wanavyoifanya hiyo qualification issue.

Dah yaani swala la kutafuta idea ya social science research na kuiandika thesis nayo ni issue kwa Tanzania.

Phd kitu gani bwana, wasituchoshe
 
PhD ni PhD ni degree inayo akisi kubobea katika sehemu fulani ya taaluma na UTAFITI. HAPO kuna heshima yake.
Mwenye PhD ni binadamu na sisi binadamu tuna yetu ikiwa na pamoja wengine wetu kuwa washenzi kama washenzi wengine tu.
PHD ya social science ipewe heshima yake.
Yaani mtu uliesoma mpaka A level haya masomo ya biashara yasitaka hesabu au social science ukafunzwa jinsi ya kufanya research mtu mwenye Phd ya hizo fields anakutisha kweli.

Kiwango cha elimu ya watanzania kitakuwa duni kweli.

Surely if you know how to do research tayght from A level provided you have an idea kufyatua dissertation/ thesis ya maneno 10000 mpaka 60000 the skill is the same.

That is to say wengine kusoma huu ujinga wa kutukuza watu wenye hizi PHD za social na kutumia nguvu kupinga vitu rahisi vinachosha na kuonyesha ujinga wa watanzania.

Phd ya social science mtu wa maana the nonsense is beyond me nani mwenye degree ya kweli hawezi andika akiamua.

Hakuna vitu vinakera kama kutukuza vitu rahisi.
 
Back
Top Bottom