Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Watu hao wameuawa leo Machi 15, 2020 na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mashambulio mawili yaliyohusisha mabomu, yanayodhaniwa kufanywa na Wanamgambo wa Al Shabaab katika Kaunti ya Garissa
Watu watatu waliuawa katika shambulio la kwanza ambapo gari la kubeba Wagonjwa lililokuwa likitoka Sangailu kwenda katika hospitali ya Kaunti ndogo ya Holugho lilikanyaga bomu la kutegwa ardhini
Dereva wa gari hilo na Wanawake wawili wagonjwa waliokuwemo kwenye walifariki papo hapo huku watoto wawili wa Mwanamke mmoja wakinusurika
Aidha, katika shambulio la pili, Askari Polisi wawili waliokuwa wakienda katika eneo la tukio la kwanza wamefariki dunia baada ya gari lao walilokuwa wakisafiria kukanyaga bomu lililokuwa limetegwa ardhini
***
Five people were killed on Sunday and several others injured in two attacks by improvised explosives suspected to have been planted by Al-Shabaab militants in Garissa County.
Three people were killed in the first attack in which an ambulance traveling from Sangailu to Holugho Sub-county hospital ran over the IED.
The Ambulance driver and two female patients died on the spot, while two children belonging to one of the women who was killed, survived.
In the second attack, two police officers who were were responding to the attack were killed after their landcruiser also ran over an IED.
North-Eastern Regional Commissioner Nicodemus Ndalana has urged area residents to volunteer information on suspicious individuals in their areas.
Watu watatu waliuawa katika shambulio la kwanza ambapo gari la kubeba Wagonjwa lililokuwa likitoka Sangailu kwenda katika hospitali ya Kaunti ndogo ya Holugho lilikanyaga bomu la kutegwa ardhini
Dereva wa gari hilo na Wanawake wawili wagonjwa waliokuwemo kwenye walifariki papo hapo huku watoto wawili wa Mwanamke mmoja wakinusurika
Aidha, katika shambulio la pili, Askari Polisi wawili waliokuwa wakienda katika eneo la tukio la kwanza wamefariki dunia baada ya gari lao walilokuwa wakisafiria kukanyaga bomu lililokuwa limetegwa ardhini
***
Five people were killed on Sunday and several others injured in two attacks by improvised explosives suspected to have been planted by Al-Shabaab militants in Garissa County.
Three people were killed in the first attack in which an ambulance traveling from Sangailu to Holugho Sub-county hospital ran over the IED.
The Ambulance driver and two female patients died on the spot, while two children belonging to one of the women who was killed, survived.
In the second attack, two police officers who were were responding to the attack were killed after their landcruiser also ran over an IED.
North-Eastern Regional Commissioner Nicodemus Ndalana has urged area residents to volunteer information on suspicious individuals in their areas.