Five Reasons Kenya Funds Evil Scenes in Ngorongoro Crater

Kenya haiwaogopi. Inaogopa ujinga yenu ju mnaweza uza Mali ya waafrika Kwa waarabu nyinyi. Mnaletaje waarabu kuwinda Wanyama Pori Kwa ardhi ya Wamaasai.
Hivi Ile ardhi yote mliyonyang'anywa na Jommo Kenyatta na ardhi kubwa inayomilikiwa na Del Monte na wazungu wengine, matokeo yake wakenya wengi wanakufa kwa njaa, mbona hamuizungumzii badala yake mnazungumzia ardhi ya Tanzania?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
1)Kati ya Kenya na Tanzania wapi Kuna Njaa, Jobless ness, Slums, starvation?
2)Kwani sio kweli kwamba Kenya Kuna hashtag inayotumia Mlima Kilimanjaro kutangaza Mlima Kenya?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
hongera nyangau ulieenda shule, Tanzania tumekuwa na huruma sana na majirani na kuwafanyia mengi ikiwamo kutumia hata rasilimali zetu katika kutatua migogoro yao mfano post kenya election 2007, ukombozi wa bara la afrika, kumwondosha idd amin madrakani lakini hata hivyo majirani zetu hawa hawa wamekuwa wakitumia wema wetu vibaya kwa kutuhujumu hasa kiuchumi. Hivi karibuni tumeshuhudia wakenya na vyombo mbalimbali vya kenya vikieneza uwongo huku serikali yao ikiwa kimya kuhusu ujenzi wa bwawa la mwalimu nyerere unaoendelea eti ni uharibifu wa mazingira bila aibu nyangau akasahau kenya ni jangwa kwasababu wakenya ndiyo vinara wa uharibifu wa mazingira kwa kuuza hata misitu kwa ajili ya ujenzi, uhamishaji wa wakaazi wa ngorongoro lengo likiwa ni kuwa na uhifadhi endelevu katika bonde la ngorongoro lakini wakenya wanataka kulihujumu zoezi hili kwa kuchochea wananchi kwamba serikali inahamisha watu kwa nguvu , uchochozi wa waziwazi wa wakenya kushawishi uungwaji mkono ili bomba la mafuta kutoka hoima uganda hadi bandari ya Tanga lisijengwe. Tulishuhudia mwanafunzi wa kikenya nchini ufaransa akiongoza maandamano ya kupinga ujenzi wa bomba la mafuta, hafanyi hivi kwa kufahamu umuhimu wa utunzaji wa mazingira bali ni chuki na wifu wa maendeleleo wakenya walio nao kwa Tanzania na watanzania. n.k kiujumla kenya na wakenya siyo jirani mwema
 
na haya yana mwisho wake, kuna mbegu wanaipandikiza kwa sisi majirani, ndiyo maana Magufuli nilimwelewa sana, mikenya imejaa hapa Tanzania ikichuuza bidhaa lakini mtanzania akiwa Nairobi ni nongwa, KQ ilikuwa inafika zaidi ya mara kumi na nne kwa wiki hapa Dar lakini watanzania ilikuwa ngumu kufungua biashara yoyote ya maana kenya, wakenya soko kubwa la bidhaa zao lipo hapa lakini wanaweka vikwazo vya kila namna kwa bidhaa kutoka Tanzania kuingia kenya, hata malighafi kama mahindi nayo wameona nongwa wapo tayari kuagiza Brazili. KENYA NI JIRANI MPUMBAVU AMBAYE TANZANIA KAMA NCHI TUNATAKIWA KUISHI NAYE KWA UMAKINI SANA.
 

 
Acheni ujinga maza yupo Oman kwa wajomba zake na kasema atasafirisha wanyama hai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…