"Za kuambiwa changanya na za kwako"
FIVE RULES FOR MEN:
1 It's important to have a woman, who
helps at home, who cooks from time to
time, cleans up and has a job.
2. It's important to have a woman,
who can make you laugh.
3. It's important to have a woman,
whom you can trust and who doesn't
lie to you.
4. It's important to have a woman,
who is good in bed and who likes to be
with you.
5. It's very, very important that these
four women never meet.
thax God anazo zote, love u mumy,
Mwenyewe najitosheleza.
Nyie msianze vita na mwanamke ooohoo, tukiwafanyia kweli mnasemaje tuna roho mbaya!
Wote wangekuwa km wewe katika dunia hii, tungeishi kwa raha na amani sana
unajua tatizo ni nini ndugu, wanaume wengi hawajuwi wanataka nini, utaskia mtu anasema kunakibint kinajipendekeza wakati kinajua nademu wangu, mi nakula bhana, je anajiuliza kunakipi kipya akitembea na wanawake tofauti au kujishushia heshima tu...
grls wakipenda wanapenda kweli, nakitu kitachokufanya hudumu na msichana wako ni neno AM SORRY, sasa vidume wa kibongo wakizinguana tu na grls wao wanapiga chini wanachukua mwingine na anajiona kidume kweli utazani kutembea na wanawake wengi watampa Certificate ya kuombea kazi.
Mm! Fafanua.Mwenyewe najitosheleza.
Ni kweli kabisa unachokisema ndugu.
Mapenzi ya kweli ni kuvumiliana, kuelezana na kurekebishana, mwenzio kaomba msamaha kwa kosa alilofanya na amejirudi msamehe na muendelee na maisha. Ukisema kila anaekukosea unapiga chini, waweza maliza ulimwengu wote.
Cha muhimu ni kuelezana likes and dislikes zenu, kuchukulana mapungufu yenu, na km shida ni hizo rules it is very possible kabisa umpendae akawa nazo, na km imemiss 1 au 2 waweza mfundisha, au ukamfanyia wewe ili ajifunze kutoka kwako.
It might be, kama anaweza kujitosheleza!shemale??????
Just thinking loud
Hana zote hizo ila nampenda sana alivyo.........coz najua na mm cna vyote anavyotaka ila ananipenda nilivyo!!
wanaume wengi ni binafsi wanapenda waridhishwe wao tuHana zote hizo ila nampenda sana alivyo.........coz najua na mm cna vyote anavyotaka ila ananipenda nilivyo!!
Mwenyewe najitosheleza.
unajua tatizo ni nini ndugu, wanaume wengi hawajuwi wanataka nini, utaskia mtu anasema kunakibint kinajipendekeza wakati kinajua nademu wangu, mi nakula bhana, je anajiuliza kunakipi kipya akitembea na wanawake tofauti au kujishushia heshima tu...
grls wakipenda wanapenda kweli, nakitu kitachokufanya hudumu na msichana wako ni neno AM SORRY, sasa vidume wa kibongo wakizinguana tu na grls wao wanapiga chini wanachukua mwingine na anajiona kidume kweli utazani kutembea na wanawake wengi watampa Certificate ya kuombea kazi.
heeee!husninyo?hebu sema tena!...mwenyewe unajitosheleza au mwenyewe unatosha?
Mm! Fafanua.
your phone number pliiz!