Ongezea nyama mzee watu tuwekezeHiyo hela nunua upcoming coin kam TRN then hold unaweza vuna hata Mara 5 ya pesa YAKO per year achana na mabenki wanyonyaji hao
Kikubwa n mwenye kujua rates za NMB, haya mengine n personal issues.Ki ukweli kuweka pesa kwenye fixed account, ni vile tu mtu huna pa kuizungushia, mfano hiyo milioni 10, wakakupa enterest rate ya 9.5℅, na bado kuna withholding taxe humo watakata!!unaweza kubakiza laki 8!!kweli milioni 10, ikuzalishie faida hiyo kwa mwaka?!!ila kupanga ni kuchagua
Kwa milioni10, ndio hiyo 9.5%kiwango kinapokuwa kidogo na rate inakuwa ndogo kwenye jukwaa hili huwezi pata taarifa kamili eti kiasi hiki rate ni hii, nenda offisini kwao.unapo leta uzi kwenye jukwaa hapa sio kwamba mtu akichangia anachangia kwa ajiri yako tu, bali inakuwa ni kwa kila mtu anayeweza jifunza kupitia ulichouliza.kama mtu anania ya kukujibu wewe tu atakuja PM.Kikubwa n mwenye kujua rates za Nmb ..haya mengine n personal issues
Shukrani MkuuKwa milioni10, ndio hiyo 9.5%kiwango kinapokuwa kidogo na rate inakuwa ndogo kwenye jukwaa hili huwezi pata taarifa kamili eti kiasi hiki rate ni hii, nenda offisini kwao.unapo leta uzi kwenye jukwaa hapa sio kwamba mtu akichangia anachangia kwa ajiri yako tu, bali inakuwa ni kwa kila mtu anayeweza jifunza kupitia ulichouliza.kama mtu anania ya kukujibu wewe tu atakuja pm
Kwa maana hiyoKwa milioni10, ndio hiyo 9.5%kiwango kinapokuwa kidogo na rate inakuwa ndogo kwenye jukwaa hili huwezi pata taarifa kamili eti kiasi hiki rate ni hii, nenda offisini kwao.unapo leta uzi kwenye jukwaa hapa sio kwamba mtu akichangia anachangia kwa ajiri yako tu, bali inakuwa ni kwa kila mtu anayeweza jifunza kupitia ulichouliza.kama mtu anania ya kukujibu wewe tu atakuja pm
Yaani fixed ni balaa tupu labda uwe na billion.Ki ukweli kuweka pesa kwenye fixed account, ni vile tu mtu huna pa kuizungushia, mfano hiyo milioni 10, wakakupa enterest rate ya 9.5℅, na bado kuna withholding taxe humo watakata!!unaweza kubakiza laki 8!!kweli milioni 10, ikuzalishie faida hiyo kwa mwaka?!!ila kupanga ni kuchagua
Una documents zizote zinazoelezea kuhusu fixed account?nataka nifanyeje calculation zangu.Yaani fixed ni balaa tupu labda uwe na billion
Ingia google search "nmb fixed account rates pdf".Mwenye full documents aiweke hapa
Kiwango cha sgrIngia google search "nmb fixed account rates pdf".
All in all kuweka 10m kwenye fixed acc ni wazo la kipumbavu.
NaamOngezea nyama mzee watu tuwekeze
Haha mwache mwenzio.Hiyo hela nunua upcoming coin kam TRN then hold unaweza vuna hata Mara 5 ya pesa YAKO per year achana na mabenki wanyonyaji hao
Yaaa!!na hapo kuna kodi humo itakatwa!!unaweza kupata kama 750,000-800, 000Kwa maana hiyo
0.095* 10,000,000 = 950000
It means 950000 ndo itakayoongezeka baada ya mwaka au kuna makato tena
Huhitaji kuuliza maswali kwa wengine, wanayo online calculator yao hapa:Habari wakuu,
Naomba kujua ,kuhusu issue za fixed account Nmb bank,
Nimeskia skia kuwa rate inaanzia 5% to 9.5% per year
Sasa nataka mwenye ufahamu wa hz rates zao atolee ufafanuzi
Kuanzia 1000,000 to 10,000,000 kwa mwaka. Rate ikoje kwa mwaka
Asanteni