Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

iyo Sio fixed sasa fixed ni mara moja na inakua annual
 
Vipi wakati wa kurejesha kile kiasi ulichozidisha kukitoa kunakuwa na Riba?
Kiasi ulicho utilise/tumia kinakatwa riba kila mwezi mpaka utakapo reqularies account. Hii ni nzuri kwa suppliers/ contractors ambao hawana daily au monthly sales.

The good, the bad and the ugly.
 
Mara nyingi hii ni kwa ajili ya wafanyabishara wakubwa mfano Mo au Bakhressa pia kampuni na co kwa customers wa kawaida
Shukrani mkuu

Kiasi ulicho utilise/tumia kinakatwa riba kila mwezi mpaka utakapo reqularies account. Hii ni nzuri kwa suppliers/ contractors ambao hawana daily au monthly sales.

The good, the bad and the ugly.
Ahsante sana chief hapa sasa umenijibu vyema
 
Utaratibu huo haupo kwenye fixed account, unachokitaka wewe kinawezekana WADU, tena kule unaweza kuwa unadeposit moja kwa moja kwa kukatwa toka kwenye mshahara. Nenda bank ya Posta utapewa ufafanuzi na kufunguliwa account.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka niweke milioni 2 fixed deposit. Faida sh ngapi
Kwa benki zilizoimarika miezi mitatu 3% mwaka 6%to 11%.....Kwa benki zenye ukwasi mdogo sometimes hadi 15% per annum for 3 years eg.kuna mda access waliweka 13-15 kama sikumbuki vizuri

Kama huna matumizi ya maendeleo au uzalishaji Kwa hiyo hela ,weka.....kama unauzalishaji ingiza huko ,maaana unaweza pata 15-20% per annum above market rate ya fixed deposit accounts..

Kuanzia mil 100 ,bil 1 na zaidi hela ndio unaiona .

Kwa mil 2 sizani kama Kwa mwaka itazidi riba ya faida tsh . 200,000 ,says laki mbili.
 
Vipi wakati wa kurejesha kile kiasi ulichozidisha kukitoa kunakuwa na Riba?
Kinakuwa na riba ambayo unatozwa tu Kwa muda uliokaa na hela na kiasi ulichotumia let's say 30 day,utachajiwa riba ya mda huo ......tofauti na term loan ambayl riba ni fixed per year na marejesho unapangiwa kila mwez
 
naona umetoka kusoma kitabu chako cha bool keeping cha form 2 eeeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakuwa kama umekopa benki bila makubaliano, unairudisha baada ya muda fulani, hiyo ni kwa current accounts tu
Wew unayo hiyo akaunti au unasoma kwenye vitabu vya mwaka 47
 
Najua kiasi cha kuvuna ni makubaliano baina ya benki na customer, je kwa uzoefu wako tu ukiweka fixed Tshs 500k ni kiasi gn unaweza kuvuna kwa muda wa miezi mi3?
Elfu Moja miatano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Riba inayotolewa na mabank kwenye mikopo ni kubwa sana kuliko wanaotoa wao kwenye fixed deposits na mwisho wa siku faida unayopata inakatwa kodi....hio ni hasara kwako.

The good, the bad and the ugly.
Ndugu, kwenye masuala yote kodi zinakatwa, iwe ni hisa, dhamana za serikali, fixed account nk, wanakata 10% ya added value.

Kama ongezeko lao ni 1000 basi wataondoka na shilingi 100.

Hili swala lipo kila sehemu hata ukinunua vitu kwenye mnada wa TRA
 
Vipi wakati wa kurejesha kile kiasi ulichozidisha kukitoa kunakuwa na Riba?
Inategemea na masharti ya benki, mara nyingine ni ukizidisha ule muda ambao ilipaswa urudishe ndio huwa unaweka na cha juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…