Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

Kinakuwa na riba ambayo unatozwa tu Kwa muda uliokaa na hela na kiasi ulichotumia let's say 30 day,utachajiwa riba ya mda huo ......tofauti na term loan ambayl riba ni fixed per year na marejesho unapangiwa kila mwez
Ahsante sana wakuu
Inategemea na masharti ya benki, mara nyingine ni ukizidisha ule muda ambao ilipaswa urudishe ndio huwa unaweka na cha juu.
 
Je makato yake(gharama) yanakuwaje kila mwisho wa mwezi au pale nitakapokuja kutoa


Mkuu nimekuelewa ni benki gani mzuri wanahiyo account ya kuweka kila mwezi tu ila kutoa mpaka muda ufike ?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba current acc unaweza kutoa pesa zaidi ya uliyonayo, kivipi sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ameshindwa kuelewa, current account.

Kutoa hela kuliko kiwango ulichonacho siyo current account hii inaitwa overdraft. Ni aina ya mkopo, na kwamba hautolewi kwa kila mtu, mpaka uwe mfanyabiashara ambae umedevelop trust na benki husika. Hawatoi kwa kila mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milion 2 labda upate 60000
 

kwa hiyo mzee nikiwa na kama kibillion hivi siwezi kukosa faida ya mil 100 kwa mwaka eeh?
na je kuna option ya kuweza kuwa nalipwa hiyo faida on monthly basis?
 
Unaonaje kama nikichukua mkopo WA benki mahali na kiasi kukitupa huko kama biashara? Kitaaluma inakuwaje hii.
Banks walishafikiria suala hilo mkuu.

Naweka mfano kwa 'urahisi' zaidi ili ieleweke:

Assume pesa husika ni Tsh.10mil umeikopa Bank X inayo charge riba ya 17% kwa mwaka then itakua:

10mil×17%=1.7mil

Riba itakua Tsh.1.7mil so mpk Mwaka unaisha utakua umewalipa Bank X Tsh.11,700,000

Assume umekopa hio hio 10mil hapo bank X na ukaenda kuiweka kwny Fixed deposit Bank Y kwa mwaka mzima ambapo Watakupa 10% kwa mwaka,hesabu itakua:

10mil×10%(1-0.1)=Tsh 900,000

Hio 0.1% iliyotelewa hapo juu ni 10% itakayolipwa Tra(Withholding Tax)

So mwisho wa mwakaBank Y itakupa 10,000,000+900,000=Tsh.10,900,000

So kama ulikopa hio pesa bank X na ukaenda kuiweka hio hio pesa kwny fixed a/c bank Y then utapata hasara ya 11.7mil-10.9mil=Tsh.800,000 kwa mwaka.

NOTE😛oint ya msingi ni SIKU ZOTE Riba ya Mkopo hua ni kubwa kuliko Riba ya kwenye Fixed a/c ili ku-encourage watu wakope na wakafanyie biashara pesa hizo na sio kukopa then wakaziweke kwny fixed a/c.
 
[


Hapana, wewe ndiyo hujamwelewa vizuri alichosema. Amesema kwamba, ukiwa na current account, unaruhusiwa kufanya overdraft, hajasema kuwa current account ni overdraft, kama unavyodai wewe hapa. Unanipa wasiwasi kama bado uko shule au chuo, unaweza kuwa una tabia ya kutunga swali lako kwenye mtihani, linaloshahibiana na swali ulilouliulizwa, lakini ambalo ni tofauti na swali uliloulizwa
 
kwa hiyo mzee nikiwa na kama kibillion hivi siwezi kukosa faida ya mil 100 kwa mwaka eeh?
na je kuna option ya kuweza kuwa nalipwa hiyo faida on monthly basis?
Hata kama ikitoa riba kwa mwezi bado wewe hautaweza kutoa hela hadi muda utimie
 
Hata kama ikitoa riba kwa mwezi bado wewe hautaweza kutoa hela hadi muda utimie

mie shida yangu sio kutoa ile hela mie nachotaka ni kuwa na uhakika wa kupata pesa kila mwezi na sio kusubiria mpaka mwisho wa mwaka ndio nipewe hiyo faida.
 
Wakat nko level flan ya elimu nkaanza kujifanya niwe investa. Nkaingia zangu nmb nkafngua hyo fixed nkaweka 50000(elfu hamsini) kwanza zen next time nweke mzigo mkubwa.. nlivunjika moyo coz afta 3 months ndo nkaruhusia kutoa na kkuta faida yangu 2500(elfu mbili na mia tano). Naona vijana twauliziiia hyo fixed.. cha muhm kujua n kwamba mzigo mkubwaaaaa utakupa faida ya ela ya kula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…