nikweli kabisa na nikamuuliza kwanini inakua hivi na ukiingia kwenye mobile yao unakupa data tofauti kabisa kwenye mobile app wanadai baada ya mwaka wanakupa milion 40% 2,160,000 baada ya kodi.Japo bank ni wanyonyaji ila nahisi umechanganya madesa.
Milioni 40 kweli wakupe faida laki 2 na 40 kweli
Nahisi kuna sifuri umeisahau, ni milioni 2 na laki 4 ndiyo walipaswa wakupe.
Japo nayo ni ndogo sana kwa milion 40
Nipe milioni 1, nakuletea faida ya 300,000 kwa mwakahabari wakuu leo nimeenda bank branch ya nmb nikawaomba wanifanyie hesabu ya milion 40 kwa muda wa mwaka wanadaia hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida
sasa just imege unawapa milion 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubilie 240k si wizi huu
Ni zaidi ya uwizi...habari wakuu leo nimeenda bank branch ya nmb nikawaomba wanifanyie hesabu ya milion 40 kwa muda wa mwaka wanadaia hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida
sasa just imege unawapa milion 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubilie 240k si wizi huu
tatizo la mtoa mada na watu wengi ni kuwa unataka kufanya biashara kwenye biashara ya watu. Mchongo wa Fixed account in biashara ya benki na sio ya anae deposit.nikweli kabisa na nikamuuliza kwanini inakua hivi na ukiingia kwenye mobile yao unakupa data tofauti kabisa kwenye mobile app wanadai baada ya mwaka wanakupa milion 40% 2,160,000 baada ya kodi.
majibu aliyonipa baada ya kuhojii wanadai wanatoa riba kubwa iwapo wanataka pesa kwasasa pesa zipo.
Unataka uongeze kwenye biashara ya kukopesha mama ntilie hapo kalolenNipe milioni 1, nakuletea faida ya 300,000 kwa mwaka
Usipende kuombaomba mlamu, utauponza.Naomba 500,000 mkuu
Na ndio lengo mkuu.Unataka uongeze kwenye biashara ya kukopesha mama ntilie hapo kalolen
Unataka uongeze kwenye biashara ya kukopesha mama ntilie hapo kalolen
Wewe ni muongo mkuu. Fixed rate ya mwaka ni 7%. Milioni arobaini kwa mwaka unapata milioni mbili na laki nane. Wakikata withholding tax unapata milioni mbili laki tano na elfu ishirini Kama ribaHabari wakuu
Leo nimeenda bank branch ya NMB nikawaomba wanifanyie hesabu ya milioni 40 kwa muda wa mwaka, wanadai hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida
Sasa just imagine unawapa milioni 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubirie 240k si wizi huu!
Financial Literacy ni tatizo kubwa sana kwenye Jamii yetu. Mkuu upo sahihi lkn wengi humu watakuona chizitatizo la mtoa mada na watu wengi ni kuwa unataka kufanya biashara kwenye biashara ya watu. Mchongo wa Fixed account in biashara ya benki na sio ya anae deposit.
Play your own game.
mkuu sijuii unapata wapi ujasili wakuniambia mm muongoo wakati izo data nimezipata sehemu husikaWewe ni muongo mkuu. Fixed rate ya mwaka ni 7%. Milioni arobaini kwa mwaka unapata milioni mbili na laki nane. Wakikata withholding tax unapata milioni mbili laki tano na elfu ishirini Kama riba
Wa ajabu sana hawa NMB. Dawa yao hao ni kuweka bilioni 40 ili upate milioni 240!Habari wakuu
Leo nimeenda bank branch ya NMB nikawaomba wanifanyie hesabu ya milioni 40 kwa muda wa mwaka, wanadai hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida
Sasa just imagine unawapa milioni 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubirie 240k si wizi huu!