TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Sasa nenda ukope kwao hizo 40 m usikilize maumivu ya riba na commission fees, na bima kwa mwaka. Ha ha ha haaaa!Sasa just imagine unawapa milioni 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubirie 240k si wizi huu!
Upatikanaji wake mgumu sana! Labda kama kuna njia mpya ya kuzipata.Chukuwa government bond.
Mbona umenishtua sana yan mwaka mzima nasotea 240,000 apo bora uanzishe biashara nyingneHabari wakuu
Leo nimeenda bank branch ya NMB nikawaomba wanifanyie hesabu ya milioni 40 kwa muda wa mwaka, wanadai hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida
Sasa just imagine unawapa milioni 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubirie 240k si wizi huu!
Ela yake ni ndogo, lakini ukiwa na kuanzia M 200 hamna shida.Upatikanaji wake mgumu sana! Labda kama kuna njia mpya ya kuzipata.
Milion 40 hiyo n ela ndefu sana kwa maisha yakawaida eb fkria umeanzisha biashara ndgo tu ya kukuingizia elfu 30 kwa siku kwa mwez una lak 9 mwaka unafka una milion 10 na lak 8Ela yake ni ndogo, lakini ukiwa na kuanzia M 200 hamna shida.
Mkuu emu nipe darasa la kubetiTafuda mechi moja ya Odds 1 kila siku na ustake mzigo wote, utakuwa unavuna hiyo 240k daily.
DuhMajizi Yapo Ndugu Zangu Hata Ndani Ya Ccm
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!
Ulitaka kusema nini? hichi ulichoandika kina uhusiano gani na post yangu?Milion 40 hiyo n ela ndefu sana kwa maisha yakawaida eb fkria umeanzisha biashara ndgo tu ya kukuingizia elfu 30 kwa siku kwa mwez una lak 9 mwaka unafka una milion 10 na lak 8
Iyo mara 3 wanakopesha kwa riba ya bei gani mkuu?Wao wakiizungusha hiyo hela kwenye mikopo wanavuna mara 3 yake halafu wewe wanataka wakupe 240,000?
Wasiliana na BOT ununue hati funganiHabari wakuu
Leo nimeenda bank branch ya NMB nikawaomba wanifanyie hesabu ya milioni 40 kwa muda wa mwaka, wanadai hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida
Sasa just imagine unawapa milioni 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubirie 240k si wizi huu!
Songombingo kuipata hiyo biashara yenye kuleta faida hiyoMilion 40 hiyo n ela ndefu sana kwa maisha yakawaida eb fkria umeanzisha biashara ndgo tu ya kukuingizia elfu 30 kwa siku kwa mwez una lak 9 mwaka unafka una milion 10 na lak 8
Kuna uzi wake humu wadau wamefafanua vizuri sana, nami nitakuja kuingia huku mbeleni unaonekana ni mfuko mzuri sanaUTT ipoje mkuu...
Biashara ya kuingiza elfu30 (net) kwa siku inawezagharimu milioni 20 uwekezaji(mtaji)Milion 40 hiyo n ela ndefu sana kwa maisha yakawaida eb fkria umeanzisha biashara ndgo tu ya kukuingizia elfu 30 kwa siku kwa mwez una lak 9 mwaka unafka una milion 10 na lak 8