Fixed matches zipo ila huwa ni siri ya circle ya watu wachche huzikuti kiholela, tuache kudanganyana kuna fixed matches za elfu na laki, ni utapeli,

Fixed matches zipo ila huwa ni siri ya circle ya watu wachche huzikuti kiholela, tuache kudanganyana kuna fixed matches za elfu na laki, ni utapeli,

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
kubeti kumeingiliwa na matapeli wengi sana wanaojinadi kutoa fixed match

Fixed matches ni mechi ambayo imepangwa timu flani ipate matokeo flani, njia rahisi huwa ni kufungwa au kutoa sare. mfano Simba anajifungisha kwa Mtibwa, wachezaji kadhaa na watu ndani ya timu na wachache sana wa nje wanaweka mizigo wanakula odds kirahisi, huwezi kuzikuta hizi taarifa zinazagaa zagaa mitandaoni kirahisi.

Tim inapoamua kuyapata matokeo haya ni lazima iwe siri ya watu wachache hasa ndani ya timu, sio kitu cha kugoogle au kukikuta uchi uchi mtandaoni,

kuzikuta fixed matches za elfi kadhaa au laki laki hizi huo ni utapeli,
 
Nimebet sana nimewahi kushinda Hela nyingi,timu ndogo ndogo ni rahisi sana kuuza mechi mkuu,makampunin ya betting ni kama matapeli tuu,si rahisi wakubali kuliwa kirahisi
 
Yapo hayo.si Kuna yule mwamba alijitabiria atapata yellow card
 
kubeti kumeingiliwa na matapeli wengi sana wanaojinadi kutoa fixed match

Fixed matches ni mechi ambayo imepangwa timu flani ipate matokeo flani, njia rahisi huwa ni kufungwa au kutoa sare. mfano Simba anajifungisha kwa Mtibwa, wachezaji kadhaa na watu ndani ya timu na wachache sana wa nje wanaweka mizigo wanakula odds kirahisi, huwezi kuzikuta hizi taarifa zinazagaa zagaa mitandaoni kirahisi.

Tim inapoamua kuyapata matokeo haya ni lazima iwe siri ya watu wachache hasa ndani ya timu, sio kitu cha kugoogle au kukikuta uchi uchi mtandaoni,

kuzikuta fixed matches za elfi kadhaa au laki laki hizi huo ni utapeli,
Mkuu dunia ya sasa ni ngumu sana kufanya match fixing kwasababu ya kubet

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa bet na una stake High basi utaelewa ninamaanisha nini

Makampuni yamezigawa games kulingana na hadhi ya timu na mashindano
Ligi kubwa kama EPL La Liga Serie A nk utaona viwango vyao vya ku stake high ni vikibwa sana kwasababu ni haiwezekani kuitubuni Man U eti ipange matokeo, utawalipa sh ngapi? Ukizingatia risk ya kushushwa daraja ikigundulika

Ligi ndogo kama Tanzania kiwango cha stake kinawekewa limit na kuwa kidogo, na wakiona labbda game ya Lipuli kapangwa amfunge pamba halafu watu wengi sana wana stake high kuipa pamba watapata notification kwamba kuna game ina activities kubwa sana na stake kubwa kuliko kawaida... wanai block

Match fixing mara nyingi ni kwa ajili ya ubingwa au kuepuka kushuka daraja na inahusu timu na timu na sio wakamaria
 
Back
Top Bottom