FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

Avatar ya FL1 imeathiri wanaume wengi sana humu jamvini.
 
Oooops Egyps-women nasikia kizunguzungu umenishitua mpendwa nakupenda pia !!
wewe ni Bro or Sissy?

Ameingia mitini kaona timu nzima imehamia huku na inamsubili kwa usongo sana.
Hivi Semenya alipotelea wapi?
 
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda …ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....

Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?

nITAKUWA MKWELI DAIMA UONGO KWANGU MWIKO!!AHADI ZA MWANATANU.

MTAJE UMPENDAE AU NDO YALE YA KUNA HAJA YA KUZIMA AU USIZIME NA KWA NINI UZIME KILICHO CHAKO!NI PRIVATE ISSUE LAKINI HUYU MWANAJF KAMA NILIVYOMUELEWA ANATAKA KUTHIBITISHA UPENDO WAKO KULINGANA NA THREAD ZAKO HASA ILE YA '
najisikia kumwambia mme wangu nampenda' MWISHO WA KUNUKUU!!
 
Kuna haja ya mie kujibu hayo maswali ya huyu EW jamani hebu kuweni fair wana JF
Ni kweli anawawakilisha nyie ??? naomba kura ya VETO IPIGWE
Mjibu PM yake basi aliridhike.Au fanya kama ile suggestion yako kwenye sredi ya Carmel ya AVATAR,mwabie invizibo a-do the nidful achenji jina weka MRS FL1.
 
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda …ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....

Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?

nITAKUWA MKWELI DAIMA UONGO KWANGU MWIKO!!AHADI ZA MWANATANU.

MTAJE UMPENDAE AU NDO YALE YA KUNA HAJA YA KUZIMA AU USIZIME NA KWA NINI UZIME KILICHO CHAKO!NI PRIVATE ISSUE LAKINI HUYU MWANAJF KAMA NILIVYOMUELEWA ANATAKA KUTHIBITISHA UPENDO WAKO KULINGANA NA THREAD ZAKO HASA ILE YA '
najisikia kumwambia mme wangu nampenda' MWISHO WA KUNUKUU!!
 
Oooops Egyps-women nasikia kizunguzungu umenishitua mpendwa nakupenda pia !!
wewe ni Bro or Sissy?

I was about ot ask the same question. Maana jina linaashiria kwamba kwamba ni sissy ila mabandiko yake yamekaa kiume kiume tu! 🙂

Sorry kama nitakuwa nimekukwaza!
 
Whats hapening in Here?
Kwani huyu hajuagi maana ya Firstlady?

First Ladyhttp://en.wikipedia.org/wiki/First_Lady#cite_note-definition-0 or First Gentleman is the unofficial title used in some countries for the spouse of an elected [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Head_of_state"]head of state[/ame]. In the United States, it is also used for the spouse or partner of a governor or mayor.

Anaweza kuwa mke wa mkuu wa nchi fulani. ni vema uka rephrase swali lako. to ''Which head of state are you married to?''
samahani kama nimekukwaza!
 
Akili Unazo Hivi wewe na Akili Mkichwa ni ndugu??
 
jiulize sana dadaangu!
huyu si mtu wa kawaida!....JF KUBWA SANA.
huenda ni ms...g....i

Sorry kama nitakukwaza,
ms...g....i, .........this word could mean many things:
= msengenyaji?
= msagaji?
= msuguaji?


Network searching!
 

Kwenye red huyu kuna kitu specific alichokuwa anatafuta afu analalamika as if ni haki yake ya kikatiba kukijua na kanyimwa

kwenye green hivi 'niaba' inakujaje hapa wakati hukushauriana hata angalau baadhi ya members (am sure)

sijaona michango ya FL1 humu ambayo yaweza kumuuguza shemeji yetu wivu kwa kweli........

samahani tena kama ntakukwaza
 
bht,Fidel,PJ,na wote mnaoniona wa ajabu mimi nimwanamke kama walivyo wanawake wengine..
Nina hisia za kike kama walivyo wanawake wote..
Sitegemie FL1 anijibu vibaya ..nimemsoma post zake zote sijaona ana argue na mtu ni mstaarabu sana katika wastaarabu sitegemei awe tofauti leo sijamtukana mie
nachomuomba anijibu tu maswali yangu ..sina nia mbaya naye kama jina lake linavyowakilisha jamii .....
 

mkuu kama nilivyomuelewa mimi huyu mtoa maada hajapotea hata kidogo ila alichukwa anataka kukiona na alichokuwa anatafuta alikiaanza siku nyingi kupitia PM alizokuwa akimtumia FL1 wetu lakini hakumjibu na ndo maana akasema kulingana na status ya UFL1 asingetegemea kupotezewa kiasi hicho ukifuatilia michango yake ya maadili na yakufundisha aitowayo.

Baada ya kuelezea hayo nahisi alichokuwa anakitaka huyu mtoa maada ni marital status ya FL1 hivyo ikabidi amPM lakini hakupata jibu alilokuwa akitegemea ndo ameona si uungwana na ameamua kuliweka hapa ili FL1 amjibu PM zake jamani

Kwa heshima na taadhima nakuomba FL1 mjibu mtoto wa watu regardless ya hizo private zenu please.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…