nina wasiwasi na wewe mama HUENDA WEWE NI HOMOS.....L!uongo kweli?😀
Oooops Egyps-women nasikia kizunguzungu umenishitua mpendwa nakupenda pia !!
wewe ni Bro or Sissy?
Mjibu PM yake basi aliridhike.Au fanya kama ile suggestion yako kwenye sredi ya Carmel ya AVATAR,mwabie invizibo a-do the nidful achenji jina weka MRS FL1.Kuna haja ya mie kujibu hayo maswali ya huyu EW jamani hebu kuweni fair wana JF
Ni kweli anawawakilisha nyie ??? naomba kura ya VETO IPIGWE
Oooops Egyps-women nasikia kizunguzungu umenishitua mpendwa nakupenda pia !!
wewe ni Bro or Sissy?
umeshaona mkuu?binam hapa naona uko sahihi kabisa
jiulize sana dadaangu!
huyu si mtu wa kawaida!....JF KUBWA SANA.
huenda ni ms...g....i
ms...g....i = msengenyaji?
= msagaji?
= msuguaji?
Network searching!
Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....
Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)
I love you FL1
**********
wat for my dear??? (samahani kama ntakukwaza pia)
sorry kama nitakuwa nimekukwaza.
Sorry kama nitakuwa nimekukwaza!
Whats hapening in Here?
Kwani huyu hajuagi maana ya Firstlady?
samahani kama nimekukwaza!
Sorry kama nitakukwaza,
Ndio mama! kuna aja ya kujibu hayo maswali.Kuna haja ya mie kujibu hayo maswali ya huyu EW jamani hebu kuweni fair wana JF
Ni kweli anawawakilisha nyie ??? naomba kura ya VETO IPIGWE
hapo hapo!Sorry kama nitakukwaza,
ms...g....i, .........this word could mean many things:
= msengenyaji?
= msagaji?
= msuguaji?
Network searching!
Kwenye red huyu kuna kitu specific alichokuwa anatafuta afu analalamika as if ni haki yake ya kikatiba kukijua na kanyimwa
kwenye green hivi 'niaba' inakujaje hapa wakati hukushauriana hata angalau baadhi ya members (am sure)
sijaona michango ya FL1 humu ambayo yaweza kumuuguza shemeji yetu wivu kwa kweli........
samahani tena kama ntakukwaza