FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

Aliyeulizwa ni FL1, sasa wengine kinyege nyege cha kuchangia mada hii kinatoka wapi? sorry kama nitawakwaza.
Sasa si angemuuliza kwenye PM?

Samahani kama nimekukwaza.
 
Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)


I love you FL1
**********

Duh!!!!!!!!!!

Nawahi Tilapia Hotel Kunywa Serengeti - Samahani Kama nimewakwaza!
 
nahitaji kujua machache ya huyu Dada/Mama sina nia mbaya hata kidogo...sidhani kama kuna ubaya mwanamke kumpenda mwanamke mwenzie
FL1 samahani najua sijakukwaza kama nilivyowakwaza wengine ,niko serious ingawa wengine mnaniona kama ..i know nothing
nakuomba dada wa kwanza ..usikwazike narudia tena sijawahi kuona una-argue na mtu naomba mie nisiwe wa kwanza
Kutoa Topic hii naelewa wote mlioko hapa ni watu wazima na hekima zenu ...
pls tuwe na amani huu mwezi wa Toba
 
haya sasa😀
 
Dah! Ukiwa kwenye nyumba ya vioo usianzishe vita ya mawe! Egyps-women angalau umeomba msamaha kwa binamu yangu! Maana ulishamkwaza!

khee maana nikahis likizo iliisha juuu kwa juu mi sina taarifa!!!
 
we si umesema umeondoka na mafuriko?

Tumeletewa mitumbwi kutoka kitengo cha maafa (PMO) na bahati nzuri kambi tumewekewa hapa karibu na hiki kiwanja maarufu ndani ya "Rocky City".

Kwahiyo baada ya tafrani zote hizo ni BIERE baridi

Samahani kama nimekukwaza
 
Aliyeulizwa ni FL1, sasa wengine kinyege nyege cha kuchangia mada hii kinatoka wapi? sorry kama nitawakwaza.

aaah umenikwaza bana Kaitaba!!!

tunachangia kwa kuwa pia amesema anauliza kwa niaba ya JF MEMBERS....EBOO!!!!

samahani kama nimekukwaza mkuu
 
khee maana nikahis likizo iliisha juuu kwa juu mi sina taarifa!!!

Haiwezki kutokea, lazima application letter ya kurudi toka likizo iwe approved na wewe! 🙂
 
nahitaji kujua machache ya huyu Dada/Mama sina nia mbaya hata kidogo...sidhani kama kuna ubaya mwanamke kumpenda mwanamke mwenzie

tuwe na amani huu mwezi wa Toba
Haya sasa! Si unaona tena haya mambo? Maskini FL1 wetu kashajipotezea kwa hofu!

Mwezi wa toba ukiisha amani itoweke siyo?

Samahani kama nimekukwaza!
 
aaah umenikwaza bana Kaitaba!!!

tunachangia kwa kuwa pia amesema anauliza kwa niaba ya JF MEMBERS....EBOO!!!!

samahani kama nimekukwaza mkuu

Hapo Mamushka wala hujamkwaza. Kwa kweli kabisa hamna kikwazo hapo!
 
If I we u(boy)ningeuliza hivi:SOMA KWENYE RED N BLAK LAKINI MASWALI MENGI YA MUMEWE YA NN?SHIFA YAKO NI YY MUMEEEEEEEEEEE!,WIVU SINA ILA ROHO INAUMA
SAMAHANI KAMA SIJAKUKWAZA
 
Mie nilijitolea kumtengenezea simu bure akanichunia.
Lkn kama ata kuwa anafikia angalau 75% ya avarta yake atakuwa bomba (si wanasema "Aim at higher ....."). Hivyo napendekeza tumtangaze kuwa yeye ni Miss JF na muanze kuchangia zawadi ya kagari Tshs 75Milioni. Mimi nitakuwa Mwekahazina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…