Kwa kweli mimi najisikia kufa kufa baada ya kusugua bench tangu may 2013 na ka diploma kangu ka ualimu nikiwa nasubiri ajira mpya. Kunamtu alisema Mulugo alipo kabidhi ofisi walisahau kumuomba Flash disk yenye majina ya walimu wapya watarajiwa. Sasa akatumwa mtu aende Songwe kufuata Flash ili wayaupload hadi sasa kimya. Sijui aliipata! Sijui jamaa aliitupa kwa hasira! Au yameliwa virus/ trogen horse/worms? Kassim Majaliwa aliahidi yange tolewa January sasa naona January inaishilizia hivyo, angekuwa nayo flash yeye angesha yatoa maana yeye hakupitiwa na fagio la chuma, sasa Mh kassimu mbona kimya?