Mbona picha nzuri tu hii inabambaM
Hongera zake.
Sema waliochagua picha wamechagua isiyovutia kwa mawazo yangu
Wanafanyaga makusudi 🤣M
Hongera zake.
Sema waliochagua picha wamechagua isiyovutia kwa mawazo yangu
Ishushe hapa mkuuNimependa sana ile Clip yake aliyokuwa Arusha kwenye Range Rover Autobiography halafu background linapigwa pini la Ludacris Move B!<TH aiseee ni noma sana.
Hongera Sana Flav.
Betina wa mbeya au?Mi nilidhani Betina!
Noma aiseee ile clip unyama ni mwingi anatoka kwenye Autography Vogue moja anashuka anaenda kupanda nyingine ya hatare ,Landrover kwenye Vogue Autobiography alitulia sana,Ishushe hapa mkuu
Ishushe hapa mkuu
🤣🤣Daah🙌Mi nilidhani Betina!
Kwa kazi yake inabidi awe BETINA ila RANGO hafai kuwa BETINA aongeze nyama awe ZENA.Mi nilidhani Betina!