huyu binti binafsi namkubali sana coz anajiamini, anajithamini, anajua value yake, anajituma kwenye fani yake na kubwa zaidi haruhusu kutumika hovyo kama chombo cha ngono kama baadhi ya wanamitindo wengine wakike tz.bigup flav, akiendelea hivi atafika mbali sana, may GOD be with her.