Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Kazingua bhanaKwamba hivyo anavyoonekana ndo mataifa ya nje yanaiona picha ya waTZ jinsi tulivyo????
Hahaha 😂😂 Ni mwanamitindo lakin huyoKazingua bhana
Wanawake wakivaa hivi sijui itakuwaje kama anaenda kwenye matambiko😁Hahaha 😂😂 Ni mwanamitindo lakin huyo
😂😂😂😂Tujitu tulikokosa nyama huwa tunajifanya tunajiamini sana.
Kama hako ukigombana nae utasikia nitakudunda. Halafu ukikapa kofi moja tu hakaamki tena.
Ndio sehemu pekee inayoshikika katika mwili wake😃Hiyo kifua sasa
Sijui hawafikiriagi ndugu na jamaa zake wa pale shinyangaBalozi wa Njaa tokea Tanzania.
Fflaviana Matata. Mimi sijapenda hizi picha aisee huyu model au ? Daah
kweli kakosa ubunifu vazi gani sasa...
uongo dhambi kachoka kiakili.
SEMA UMEUPIGA MWINGI...View attachment 2542516
wasukuma ni washamba sanaBalozi wa Njaa tokea Tanzania.
Fflaviana Matata. Mimi sijapenda hizi picha aisee huyu model au ? Daah
kweli kakosa ubunifu vazi gani sasa...
uongo dhambi kachoka kiakili.
SEMA UMEUPIGA MWINGI...View attachment 2542516
yupo kazini km wewe kazi zako zinavokuruhusu kuvaa bwanga
yes ni kama JAY DEE hii dunia ukiwa na misimamo ya kazi yako unachukiwaHuyo demu watu wanamchukia kwa sababu kawazidi Akili.
Kweli na wanawake hawapendi kuwaona wanawake wenzao walio smart upstairsyes ni kama JAY DEE hii dunia ukiwa na misimamo ya kazi yako unachukiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tujitu tulikokosa nyama huwa tunajifanya tunajiamini sana.
Kama hako ukigombana nako utasikia nitakudunda. Halafu ukikapa kofi moja tu hakaamki tena.
Huyu sio muhaya??wasukuma ni washamba sana