FLAYER FOR Bs.in PROSTHETICS AND ORTHOTICS AT KCMC

Kaka hiyo kozi inahusu nn?
kwa ninavyojua ina deal na viungo bandia na kwa hapa bongo na africa(hapa sina hakika) program hii inatolewa pale kcmc!! ila msuli wake si wakitoto!!!
 
kwa ninavyojua ina deal na viungo bandia na kwa hapa bongo na africa(hapa sina hakika) program hii inatolewa pale kcmc!! ila msuli wake si wakitoto!!!

Hiyo ina deal na utengenezaji (desining), usimikaji (fubrication) wa viungo bandia pamoja na modification of disabled including polio. Hiyo kaka ni dili kubwa ikiwezekana apply for graduate mshahara wa kwanza ni 380007 u$ per year ambayo ni kama 5M kwa mwezi kama kuna uwezekano apply is very marketable. For more detail igoogle angalia sehemu ya salary,job opportunity, etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…