Fleckvieh Bree

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Niliwatembelea hawa jamaa wa hii breed ya Ng'ombe na wakasema tukijiorganize wanaweza kuja kupandikiza hii breed, Hii ni Breed ambayo ni the second kwa utoaji wa maziwa, ambapo uazo wake wa pili na watutu hufikisha lita 45 kwa siku

Na ni lazima ikamuliwe mara 3 kwa siku.






 
Hao jamaa wanapatikana wapi,tukijiorganize kufikia watu wangapi? Mkoa upi?
 
hao ng'ombe acha kabisa wanatoa maziwa kama mto vile nilibahatika kuwaona hapo kwa kibaki
 
Leta habari timilifu mkuu, ni nn na wapi wangapi na sh nagpi, na twafanyaje ili kufikia malengo
 
sory kwa kuchelewa, jamaa wameniambia wanaweza kuleta wenyewe au tukafuata huko Nairobi,so imnawezekana kabisa kwenda kuchukua huko
 
Hello #Chasha ,
Asante kwa updates,
Nilikuwa natamani kufahamu gharama za wao kuwaleta kwa ng'ombe mmoja na kama inawezekana kupata contacts zao.
Asante mkuu.


sory kwa kuchelewa, jamaa wameniambia wanaweza kuleta wenyewe au tukafuata huko Nairobi,so imnawezekana kabisa kwenda kuchukua huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…