Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Sio kila kilichopo kimetengenezwa au kuundwa kina dhamila mbaya inaweza kuwa nzuri kwa wengine na wengine wakatumia vibaya.
Teknolojia inazidi kukuwa na kuwa msaada kwa matumizi lakini ugeuka kuwa mbaya kwa wanaotumia kwa njia ya uwovu kwenye mambo mengine.
Wakati napitapita kwenye mitandao nikakutana na wabobezi toka DEFCON ambao hujumuishwa manguli na kuwekewa dau nono kuanzia wezi, mafisadi, matepeli, wasomi, n.k ili mradi tu unaweza kutumia ulichokijua kwenye toknolojia swala la ulinzi na usalama kwenye udukuzi.
Wakati naendelea kupembuzi nikakutana na kifaa wakikitaja kama flipper zero. Kifaa hiki ukiingia youtube kuna mambo machache ambayo yatakushangaza na mengine naona yameondolewa labda ya usalama. Kifaa hiki ni moja ya vifaa hatari vinavoweza kutumika kwa hudukuzi.
Kama kinaweza kucrone funguo za mawimbi na kufungua gari basi ni hatari pale wakati unafungua gari lako wakakutegeshea.
Matumizi mingine nimeona kikifungua nywila za simu janja bila muhusika endepo utakiunganisha.
Teknolojia inazidi kukuwa na kuwa msaada kwa matumizi lakini ugeuka kuwa mbaya kwa wanaotumia kwa njia ya uwovu kwenye mambo mengine.
Wakati napitapita kwenye mitandao nikakutana na wabobezi toka DEFCON ambao hujumuishwa manguli na kuwekewa dau nono kuanzia wezi, mafisadi, matepeli, wasomi, n.k ili mradi tu unaweza kutumia ulichokijua kwenye toknolojia swala la ulinzi na usalama kwenye udukuzi.
Wakati naendelea kupembuzi nikakutana na kifaa wakikitaja kama flipper zero. Kifaa hiki ukiingia youtube kuna mambo machache ambayo yatakushangaza na mengine naona yameondolewa labda ya usalama. Kifaa hiki ni moja ya vifaa hatari vinavoweza kutumika kwa hudukuzi.
Kama kinaweza kucrone funguo za mawimbi na kufungua gari basi ni hatari pale wakati unafungua gari lako wakakutegeshea.
Matumizi mingine nimeona kikifungua nywila za simu janja bila muhusika endepo utakiunganisha.