No i dont gat t!!U r so rude, u knw.., f u cant help sio lazima upost, am jst askin wat exactly doz t mean? gat t?
U r so rude, u knw.., f u cant help sio lazima upost, am jst askin wat exactly doz t mean? gat t?
aaaaa,afadhali umeokoa jahazi.,hahahaaaaBasi na wewe usiwe mkali ndugu yangu...maana umeomba msaada kila mtu atatoa msaada kadiri awezavyo ...elewa hapa watu tuna akili tofauti kila mmoja....
Haya faidi basi...kua FLIRTATIOUS ni sawa na KUJISHAU.Nadhani unaelewa maana ya kujishaua kwahiyo sina haja ya kuielezea.Na kuFLIRT pekee ina maana ya MBEMBELEZI (hali ya kubembeleza )...mara nyingi japo sio zote hua inasuggest anaeflirt yuko interested au anamLIKE tu anaeflirt nae kwahiyo wakati mwingine yaweza kua utani tu kama watu wafanyavyo makazini.Unakuta fulani na fulani wanachekeana chekeana sana...msg wanazotumiana zaweza kua sio za mapenzi ila kama wewe hujui mahusiano yao unaweza kuhisi ni wapenzi...wanakua na ukaribu wa kutosha kuwashawishi wasiowajua kudhani wao ni PAIR!!
kumbe jibu ulikuwa nalo???,unatisha.......hope atakuomba msaada.
Basi na wewe usiwe mkali ndugu yangu...maana umeomba msaada kila mtu atatoa msaada kadiri awezavyo ...elewa hapa watu tuna akili tofauti kila mmoja....
Haya faidi basi...kua FLIRTATIOUS ni sawa na KUJISHAU.Nadhani unaelewa maana ya kujishaua kwahiyo sina haja ya kuielezea.Na kuFLIRT pekee ina maana ya MBEMBELEZI (hali ya kubembeleza )...mara nyingi japo sio zote hua inasuggest anaeflirt yuko interested au anamLIKE tu anaeflirt nae kwahiyo wakati mwingine yaweza kua utani tu kama watu wafanyavyo makazini.Unakuta fulani na fulani wanachekeana chekeana sana...msg wanazotumiana zaweza kua sio za mapenzi ila kama wewe hujui mahusiano yao unaweza kuhisi ni wapenzi...wanakua na ukaribu wa kutosha kuwashawishi wasiowajua kudhani wao ni PAIR!!
Hope nimesaidia!
kweli lkn si ustaarabu wakati mwingineU r so rude, u knw.., f u cant help sio lazima upost, am jst askin wat exactly doz t mean? gat t?
Dictionary.."to act amorously without serious intentions; play at love".. kwa kifupi ni kama matani ya mapenzi lakini hayana nia mbaya wala hayana nguvu.. Mimi sio mtaalamu wa lugha lakini nadhani kuna tofauti kati ya ku-flirt na ku-cheat..
Ila becareful, kwa sababu hii lugha sio yetu, ukisikia mtu anasema hivyo, anaweza kuelezea jamaa ana nyumba ndogo au jamaa anatoka kiukweli kimahaba..Yaani kama issue inakuhusu..imeshakula kwako..
It's an assumption Kwani ukweli unaujua wewe mwenyewe kwanini umeuliza swali hilo.mkuu nimekupata n thnx for mwanzoni, lakin hapo kwenye bolded red mbona umeamua kujustfy kabisa..!!
No i don‘t "gat t"!!