Floor na fremu nyingi zakosa wapangaji Mwanza

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
264
Reaction score
380
Hii ni kuashiria hali ya uchumi ni mbaya au imekaaje kaaje hii
Ukipita maeneo kadhaa ya hapa mwanza town center mitaa ya Darajani utakuta matangazo ya kupangisha fremu za maduka miezi inakatika no wapangaji

Maeneo ya Liberty nayo floor kibao zipo empty miezi inakatika no wapangaji

Ofisi ya CCM Nyamagana nayo ina tangazo ofisi na floor zinapangishwa miezi sasa inakatika no wapangaji

Jengo la PPF PLAZA Kenyatta wameweka bango ofisi zinapangishwa

Jengo la Rock city mall nalo halina wapangaji hadi wameamua kushusha kodi ya pango

Hii hali mnaionaje wataalamu wa uchumi ,floor na fremu za mjini kati kukosa wapangaji kwa muda mrefu!??
 
Ukiona hivyo ujue kuna idadi kubwa ya frem kuliko wafanyabiasha (sio wafanyiwabiashara) kabla ya uchumi halisi huu tulionao nilikuwa nimempangishia nyumba ndogo yangu frem kwa ajili ya kuuza vipodozi, nilifanya hivyo ili kumpadisha hadhi maana kile kichwa hakikuwa cha kufanya biashara, yaani hadi hela ya pango halikuwa anakosa huku biashara anafanya....huo ni mfano wa "wafanyiwa biashara" ambao sasa hivi uchumi halisi umewaondoa according to Darwin!
 
Bora alishindwa ili ubaki njia kuu
 
Nimefurahi kusikia Uchumi Halisi.
 
Hata Dar mwendo ni huohuo...siku hizi frem dar na hata nyumba zipo za kumwaga tu..
 
Matangazo kwenye apartments, mafrem ni mengi tena yanakaa mda sana...hata Kkoo frem zipo?!!!! Haaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…