Wazabanga kuku
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 264
- 380
Bora alishindwa ili ubaki njia kuuUkiona hivyo ujue kuna idadi kubwa ya frem kuliko wafanyabiasha (sio wafanyiwabiashara) kabla ya uchumi halisi huu tulionao nilikuwa nimempangishia nyumba ndogo yangu frem kwa ajili ya kuuza vipodozi, nilifanya hivyo ili kumpadisha hadhi maana kile kichwa hakikuwa cha kufanya biashara, yaani hadi hela ya pango halikuwa anakosa huku biashara anafanya....huo ni mfano wa "wafanyiwa biashara" ambao sasa hivi uchumi halisi umewaondoa according to Darwin!