Hii couple nilivyokuwa naipenda na kuiamini........... nguvu zimeniishia!
Baadhi ya wanaume ambao wake zao wamewazidi kipato huwa ni wakorofi na wakatili wakidhani hilo ndilo litampa heshima ndani ya nyumba .Pole dada kama ni kweli haya uliyoandika ila muombe msamaha mungu kwa yale uliyomkosea na simama kidete uwalee wanao wasijeishi kama yatima ilhal wazazi mpo.
Pole sana frola, wanawake wanakumbwa na unyanyasaji wa kila aina, wanajitahidi kuficha siri ili kulinda heshima tu. songa mbele day haki yako kwani huyo sio mume sahihi kwako,
watumishi wanaombana tigo...? aisee naamini sasa kuwa si kila asemaye bwana bwana ataurithi ufalme wa mbinguni...
uwongo uwongo mara 1000.
Kwahyo amezoea kuzibuliwa
Hajatunga yule Mbasha ni marioooo
Maisha ya ndoaaaaaaaa....
Yanafanishwa na safariiiiiiii.......
Njiani kuna mambo mengiiiii...
Yahitaji uvumilivu sanaaaaa.....
huu wimbo mliuimba kwa hisia sana na mmeo kumbe mlikuwa mnatafuta pesa tu wapumbavu wakubwa nyie.....
Mpwa hio kitu tamu usiombe, balaa kaka!
Defensive mechanism.
Flora anataka kuaminisha umma kuwa kwa kuongea hayo aliyoyasema ndio itahalalisha yy kwenda kuzaa na Mch' Gwajima???
Never on earth
mmh mbona sasa anajidhalilisha tu....
Ni bora ushahidi wake angeutumia tu huko mahakamani, kuanika haya mitandaoni ni kujishusha sana hasa kwa mtu ambaye kimaadili alitakiwa awe mfaano.
hii taarifa ni ya kutunga....huwezi kuamini taarifa kama hii....kuna mahali anasema kuna mambo ya ndani siwezi kuyasema hapa kwa sababu ninamuheshimu na pia ni mzazi mwenzagu.....kisha anasema huyu mwanaume alikuwa anataka na kunilazimisha nifanye nae mapenzi kinyume na maumbile....
huyu mama muongo,anatunga story nyiingi ili aonekane kaonewa,though sikatai kwamba kuna matatizo ya hapa na pale kwenye ndoa.
hivi siku zote hizo alishindwa kwenda hata ukweni kwa akina mbasha akalalamike,au kwa mawifi,mashangazi,mashemeji ?,yaani MTU unafanyiwa unyama miaka yote hiyo umetulia tu na kesho mnapanda kwenye stage mnaimba wote.!
what about ile issue ya mbasha kumbaka mdogo wake yeye flora,it means it was cooked story ili apate njia ya kuondoka kwa mbasha?
tutamuamini vipi kwamba alikuwa hachepuki nje na wachungaji ndio maana jamaa alikuwa akimdunda?
Leo anasema jamaa alikuwa anataka Tigo,alishindwa nini kuondoka mapema Kama that's the issue iliyo muondoa na mengine.
cha ajabu eti Hana account nyingine alafu eti hata Mia tank ya vocha alikuwa akimuomba mbasha..yeye aseme hivi walikuwa wanamiliki account pamoja na kuna mmoja wao alikuwa na power of attorney .
hivi kweli flora alishindwa kufungua hata m powa,au bank ya post .kias kwamba pesa zake zoote azimiliki mbasha,kwa dunia ya Leo kweli kitu Kama hicho chawezeka jamani.