Flora Mbasha ajifungua, nani baba wa mtoto?

Mi naona ni sura ya mama yake. Ila baada ya three months sura ya dad wake itaonekana
 
maskin mbasha.... namuonea hurumaa! ikifahamika ukweli. Dada Flora why hukutumia hata mfuko..
naomba isiwe ivyo wengi wanavyohisii
 
mi uwaga nahamini na nikisema kwamba mungu huyu tunaye mtukuza na kumuomba uwaga Akosei kamwe milele daima sasa kwa swala hilo tumwachie mungu hataonyesha miujiza yake tu siku zote shetani hawezi mzidi MUNGU wetu hata siku moja tuendelee kumbuomba naye atajibu tu maombi yetu na ukweli kujulikana,
 
Nilikuwa nafuatilia kule Facebook kama ni kweli mtoto ni wa Gwajima, je kama mchungaji inakuwaje anazaa na mke wa mtu,je Gwajima ana mke au huu ndio utumishi.

Ninakitabu cha Gwajima kinaitwa Mega church amezungumzia kuhusu jinsi waumini wanavyopaswa kuwaheshimu wake za watumishi inakuwaje leo.

Flora kama kweli amezaa na Gwajima kumbe kelele za kumpakazia kubaka mumewe Emanuel ilikuwa ni uongo ili ale maisha ya kitapeli na Gwajima. Hakika Mungu anaishi.,Mungu mtie nguvu Enanuel kijana mwenzetu.

Hata kama ni mapenzi yaani unasaliti mpaka unazaa nje ya ndoa tena ya kanisani.
 
Ondoa uzushi wako wa kishetani hapa. Kwenda huko pepo uwongo!!!!!!!!!!!.

Pyuuuuuuuuuu!.

Mtaendelea kujijengea laana hadi lini? Mtamsaidia shetani huku mkidhani mnajifurahisha hadi lini? Kwenda zako kule.



 
Ondoa uzushi wako wa kishetani hapa. Kwenda huko pepo uwongo!!!!!!!!!!!.

Pyuuuuuuuuuu!.

Mtaendelea kujijengea laana hadi lini? Mtamsaidia shetani huku mkidhani mnajifurahisha hadi lini? Kwenda zako kule.

Mkuu vp mbona povu linakutoka? Umeona pic ya motto?
 
Umepata wapi uhakika kuwa mtoto niwamchungaji, kawaida mtoto wa siku 1 hadi wiki si rahisi sana kutambua amefanana na nani.
 
kama ni kweli atakuwa ameharibu kazi na legacy iliyoachwa na babu yake Moses Kulola kwa miaka mingi sana
 
Hivi ninyi mnaong'ang'ania mtoto ni wa fulani...

Baba zenu halisi mnawajua?
...aseeee we jamaa ..ungekua karibu ningekupiga ofa ya kinywaji unachotumi..kwa hilo swali lako...
...ongeza na sie wanaume tunashabikia hii...je watoto wetu ni wahalali kweli..?...au ndio KITANDA HAKIZAI HARAMU?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…