Flora Mbasha: Naomba mniache mimi na Mbasha tafadhali

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061

Mwanamuziki wa Injili nchini, Flora Mbasha amesema kuwa watu wamuache na maisha yao kati yake na Mbasha kwani mapenzi ni kitu binafsi kati ya watu wawili na anaishi kama anavyotaka na sio kama watu wanavyotaka aishi

Amedai kuna watu wanajifanya wanamjua maisha yake kuliko yeye na kumbe sivyo, pia kwa sasa anataka afahamike kama Madam Flora na sio Flora Mbasha kwa kuwa kuna talaka ipo kwenye process
 
Kama sio mjukuu wa Askofu Kulola vile. Ni aibu sana kwa kweli.Anataka sasa kuishi kama atakavyo,sio kama Mungu atakavyo.Ndio,amefika mbali.She wants to be a "free builder,yes,a Freemason ."
 
Huyu Flora si ndio wa Gwajima?
Kachukuliwa jumla?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…