MNYAMAKAZI
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,118
- 2,195
Madam Flora wapi aseme tu tumuite Flora Gwajima. Siku hizi kwa Yesu talaka zipo.
Mwanamuziki wa Injili nchini, Flora Mbasha amesema kuwa watu wamuache na maisha yao kati yake na Mbasha kwani mapenzi ni kitu binafsi kati ya watu wawili na anaishi kama anavyotaka na sio kama watu wanavyotaka aishi
Amedai kuna watu wanajifanya wanamjua maisha yake kuliko yeye na kumbe sivyo, pia kwa sasa anataka afahamike kama Madam Flora na sio Flora Mbasha kwa kuwa kuna talaka ipo kwenye process
Hivi mwaka huu tumeonana?Sio kwa kupoteana huko Mariana
Hatujaona kabsa this yearHivi mwaka huu tumeonana?
Kheri ya mwaka mpya mpendwa.
Kumbee, we ni changamoto babaaHahaha
Huyu ni bwege sio mapenzi haya mama
Ahsante sana, tutaonana tu maana Mungu anatuwazia mema.Hatujaona kabsa this year
Lakin nakuwish mwaka wenye mafanikio ya kutosha.
Na tuendelee kuonana sanaa
Kwani wanamuzi wa injili hawapitiwi na majaribu? Hebu tuacheni unafiki wa kuzungumzia maisha binafsi ya watu!Kama mwanamuziki wa nyimbo za injili alipaswa kuwa mfano mzuri ila kwa anayoyafanya namshauri aachane na muziki wa injili aimbe nyimbo za kidunia tu maana huko ndiko anakofaa.
HahahaKumbee, we ni changamoto babaa
Ameen! Ahsante kwa wishAhsante sana, tutaonana tu maana Mungu anatuwazia mema.
Mungu akamilishe yote mema aliyoyaanzisha huko nyuma (mwaka jana).
Pamoja na hayo, naona misimamo yetu kwenye hili swala inapingana.
Hii ndoa ya KIKRISTO, haivunjiki, ndio maana anamng'ang'ania mke wake na sio ubwege.
Akimwacha adui ndio atakula kiulaini. ila siwezi kuongea sana maana siishi nao hivyo sijui mambo yao kiundani.
Kila mtu ana mapungufu, au niseme mapungufu yako hapaHahaha
Amna huyu jamaa ukiangalia kwa umakini unagundua kuna kitu ana pungua
Linamo mzima dadangu!Hajitambui ya dunia yamemnogea
Mzima kabisa kakaangu. Heri ya mwaka mpya!Linamo mzima dadangu!
Asante sana, nimefurahi kukuona hapa tenaMzima kabisa kakaangu. Heri ya mwaka mpya!
Shukrani. Tupo pamoja.Asante sana, nimefurahi kukuona hapa tena
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Shukrani. Tupo pamoja.
ni mshamba aliyeacha doa kubwa kwenye ukristo. anasema hataki kuanika ndoa yake wakati alianika kila kitu na yeye ndiye alikuwa wa kwanza kuanika ndoa yake hadharani hata kabla ya mume wake, baada ya kuwapa watu faida wakaigaragaza, sasaivi ndo anastuka. aibu tupu na muziki wake hauuzi tena ni mtu wa kutangatanga tu. awe mfano kwa wengine. ukifunga ndoa, unatakiwa kuwa mvumilivu na ukigombana na mwenzio ujue haugombani na yeye bali shetani, vita vyatakiwa kupiganwa kiroho na sio kimwili, ukipigana kimwili siku zote utaashindwa kwasababu kwa nguvu za mwili hakuna anayemshinda shetani, ila kwa nguvu za rohoni tunashinda.
Mwanamuziki wa Injili nchini, Flora Mbasha amesema kuwa watu wamuache na maisha yao kati yake na Mbasha kwani mapenzi ni kitu binafsi kati ya watu wawili na anaishi kama anavyotaka na sio kama watu wanavyotaka aishi
Amedai kuna watu wanajifanya wanamjua maisha yake kuliko yeye na kumbe sivyo, pia kwa sasa anataka afahamike kama Madam Flora na sio Flora Mbasha kwa kuwa kuna talaka ipo kwenye process
Sana tu ndugu. Ukikosea kuoa ama kuolewa ni ishu kubwa sasaUjumbe mujarabu
Mbasha anadai frola anamtoto nje ya ndoa kitu ambacho sio kizuri hata kwa jamii yetuDah... Bikra hizi home made? [emoji13] [emoji13]