Binamu leo umbea unapiga wapi? Maana toka saa kumi hasubuh nakuona online huku hutak kuja
Nipo tu nazunguka kama bodaboda mjinii nipe tu umbeaaa basiiii
Na unavyohangaika na umbea binamu mmh ushukuru mungu tu siku iz tindikal hamna, umbea mpya ni kuhusu mama ubaya, si unakumbuk kipindi kile ndomo alivyochaguliwa BET timu wema na vihele hele vyao wakaanza ooh wema uso kwa uso na akina rihhana na beyonce, makerere kibao, hatimaye mama ubaya katoswa tupo nae mjini tu tunaungua jua wote
Na unavyohangaika na umbea binamu mmh ushukuru mungu tu siku iz tindikal hamna, umbea mpya ni kuhusu mama ubaya, si unakumbuk kipindi kile ndomo alivyochaguliwa BET timu wema na vihele hele vyao wakaanza ooh wema uso kwa uso na akina rihhana na beyonce, makerere kibao, hatimaye mama ubaya katoswa tupo nae mjini tu tunaungua jua wote
Na unavyohangaika na umbea binamu mmh ushukuru mungu tu siku iz tindikal hamna, umbea mpya ni kuhusu mama ubaya, si unakumbuk kipindi kile ndomo alivyochaguliwa BET timu wema na vihele hele vyao wakaanza ooh wema uso kwa uso na akina rihhana na beyonce, makerere kibao, hatimaye mama ubaya katoswa tupo nae mjini tu tunaungua jua wote
wema uso kwa uso na kina rihana ataendelea kuwasikia kwenye vyombo vya habari tu
kuchamba kwingi ndio kubaki na mavi unatakiwa uwe mtu wa actions sio maneno makavu meengi
swala la mbasha kurudiana na Flora sijamuelewa labda kama ana hidden agenda na kuna kitu AME aim kuachive.
Aache kukata mauno na mkewe jukwaani atafute kitu cha kufanya pia
Jipange sasa alivyokuwa anajishau ooh wema atakuwa kwenye red carpet na kina beyonce na rihhana had nguo ya kuvaa jipange akamchagulia, dah naona sasa ivi kawa mpole yamemshuka
Umeona picha ya kajala na wema uko insta? Madai wamepatana tena nimewaona wamevaa sare kama kawaida yao, aunty ezekeil akaroge tu kibarua kinakaribia kuota nyasi
Na unavyohangaika na umbea binamu mmh ushukuru mungu tu siku iz tindikal hamna, umbea mpya ni kuhusu mama ubaya, si unakumbuk kipindi kile ndomo alivyochaguliwa BET timu wema na vihele hele vyao wakaanza ooh wema uso kwa uso na akina rihhana na beyonce, makerere kibao, hatimaye mama ubaya katoswa tupo nae mjini tu tunaungua jua wote
Kwa hiyo domo kaenda mwenyewe au, kakomeshwaaa angeenda nae angeenda nae domo angetoswaa akakimbiliwaa Jay z
Jipange sasa alivyokuwa anajishau ooh wema atakuwa kwenye red carpet na kina beyonce na rihhana had nguo ya kuvaa jipange akamchagulia, dah naona sasa ivi kawa mpole yamemshuka
Umeona picha ya kajala na wema uko insta? Madai wamepatana tena nimewaona wamevaa sare kama kawaida yao, aunty ezekeil akaroge tu kibarua kinakaribia kuota nyasi
Mi nachekaga anavyoyarudi mume wa florah, step zenyew hajui vzur basi vurugu hata haelewekag kama anacheza ngolololo au skelewu anaruka ruka
Nahisi kuna mtu anakwenda kuumizwa zaidi sasa....sijui kwanini nahisi Haya mapatano yana walakini...
Angeenda unadhan instagram pangetosha leo? Ndo ungekuwa wimbo wa taifa, madam yupo zake mwana nyamara uko asubir tu kumuona malaya wake kwenye TV