sijaona binamu kwenye akaunt ya nani ndio kuna hiyo picha.
hivi aunt eze ndoa bado ipo kweli maana mwanamke kutwa kigulu na njia hivi siku hizi yuko karibu na madam
Picha ndo hiyo binamu nasikia walipiga jana kwenye arobain ya mtoto wa imelda yule cha umbea wa global aliyegombana na wema kwenye ofisi za global
Wema hajakwenda BET !Wamarekani wamemnyima viza nini?Picha ndo hiyo binamu nasikia walipiga jana kwenye arobain ya mtoto wa imelda yule cha umbea wa global aliyegombana na wema kwenye ofisi za global
kweli kabisa mwanaume utakataje mauno kwenye Bendi ya mkeo,ndo maana mimi niliangalia GPA nilipotaka kuolewa,hahahh mwanaume mwenye akili hawezi kuwa danser kwenye Bend ya mkewe.swala la mbasha kurudiana na Flora sijamuelewa labda kama ana hidden agenda na kuna kitu AME aim kuachive.
Aache kukata mauno na mkewe jukwaani atafute kitu cha kufanya pia
kweli kabisa mwanaume utakataje mauno kwenye Bendi ya mkeo,ndo maana mimi niliangalia GPA nilipotaka kuolewa,hahahh mwanaume mwenye akili hawezi kuwa danser kwenye Bend ya mkewe.
GPA zenu hizo neo maana kutwa mko posta na mabahasha ya kaki mnatafuta kazi..Pia akili sio GPA..watu tuna GPA kama punje lakini kila siku sherehe ..ushanifahamu
hhhhhh mimi GPA ndo ilikuwa moja yakigezo cha kumkubali mme,na vigezo vingine vingi kama kumpima je anaweza kuongoza familia?GPA kubwa inadetermine uwezo wa mtu,labda iwe ya kupewa ila kama ya kihalali tena ya Engineering,huko hakuna kumeza ni kuelewaGPA zenu hizo neo maana kutwa mko posta na mabahasha ya kaki mnatafuta kazi..Pia akili sio GPA..watu tuna GPA kama punje lakini kila siku sherehe ..ushanifahamu
ukiona ivo mbasha atafungwa
nahisi kuna mtu anakwenda kuumizwa zaidi sasa....sijui kwanini nahisi haya mapatano yana walakini...
kuna mmoja atamtoa mwenzio roho. Jf take my word! Na si muda mrefu!!
Ahaaaaa ahaaaaa!mjomba domo safari nyingi za majuu anamtosa Bi Wema,ila safari za Kili Music Award ndiyo anajidai kwenda naye!
Picha ndo hiyo binamu nasikia walipiga jana kwenye arobain ya mtoto wa imelda yule cha umbea wa global aliyegombana na wema kwenye ofisi za global
Wamepatana baada ya bunge kwisha, what a concincidence, walituondoa kabisa kwenye mijadala ya bunge wapenda umbea, isijekuwa walikuwa spin doctors
Unaonekana una mahaba makali sana mungu aniepushe nisije kukutana na wewe maana naweza kufa kwa kusikia utamu
Wambea yametushuka jaman, kila siku tulikuwa tunamchamba florah, jamani wametuaibisha hawa, haswa hili li mbasha ndo limetudhalilisha sana kumtetea kote kule leo anatugeuka?, ngoja na yeye kesi yake bado ipo jikon ngoja walifunge kwanza na utahira wake