Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Tangu Diamond na Wema Sepetu kurudiana kwa mara nyingine sasa imekuwa gumzo la mtaa lisilotaka kuisha hivi karibuni.
Kila anaewashabikia mastaa hawa kurudiana amekuwa na mtindo wake wa kuonyesha furaha. Lakini ile iliyozungumzwa sana ni ile ya mafans wa Wema na Diamond kumtusi Penny kwa keki.
Pia mastaa wengine wamejitokeza kukubali mahusiano haya na pia kabla kurudiana rasmi, kulikuwa na mijadala kwa mitandao kuwa Diamond ingekuwa vyema kama angerudiana na Wema Sepetu.
Flora Mvungi kwa kuonyesha furaha yake kwa wawili hawa aliingia kwa akaunti yake ya Instagram na kuweka ile picha iliyosambaa sana ikimuonyesha Wema mikononi mwa Diamond halafu akaweka maneno haya:
‘me na mume wangu tunapendana sana but still tunaipenda sana hii couple iendelee kuwepo.Mungu awajalie mapenzi tele wafike malengo all the best darlings..."
Kila anaewashabikia mastaa hawa kurudiana amekuwa na mtindo wake wa kuonyesha furaha. Lakini ile iliyozungumzwa sana ni ile ya mafans wa Wema na Diamond kumtusi Penny kwa keki.
Pia mastaa wengine wamejitokeza kukubali mahusiano haya na pia kabla kurudiana rasmi, kulikuwa na mijadala kwa mitandao kuwa Diamond ingekuwa vyema kama angerudiana na Wema Sepetu.
Flora Mvungi kwa kuonyesha furaha yake kwa wawili hawa aliingia kwa akaunti yake ya Instagram na kuweka ile picha iliyosambaa sana ikimuonyesha Wema mikononi mwa Diamond halafu akaweka maneno haya:
‘me na mume wangu tunapendana sana but still tunaipenda sana hii couple iendelee kuwepo.Mungu awajalie mapenzi tele wafike malengo all the best darlings..."
Picha ya Instagram hapo chini.