pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Flossin Mauwano kapita hapa.... masai nakuja leta mbusi hapa akule huu miti mirefu.
It doesn't only look good from above. I am loving what is going on down below too. Definately at par with Nairobi's world famous moniker, The Green City under the Sun. A substansial win for the environment too.
Flossin Mauwano pia unammanya?Flossin Mauwano kapita hapa.... masai nakuja leta mbusi hapa akule huu miti mirefu.
Aah wapi, hamna namna hapa, imebidi wawe wadogo kama piriton jombaa. 😄 Hii ni ligi nyingine tofauti kabisa, ambayo hawana mazoea nayo hata kidogo. Wanapita tu kimya kimya wakijiumiza vichwa na kushangaa. Inakuwaje jirani zao tunafanya mambo kama haya kimya kimya.Hii barabara itasababisha watu watukane sana humu.....
Don't say the road is beautiful say it is good.This road is so beautiful.