Hii ripoti inasema alitumia madawa yaliyopigwa marufuku
madawa ambayo husababisha wasione kitu iwapo
atapimwa kama ametumia madawa mengine...while
Pacqiao alinyimwa kibali kama hiko
na USADA tu ndo walijua while WADA hawakuwa na taarifa..
Kwa mazingira ya ule mpanbano.
USA & Floyd wali-control kila kitu.
Na walijua wazi Mayweather hafui dafu kwa yule Mfilipino.
Wakaanza figisufigisu toka mwanzoni.
Nashauri pambano lirudiwe kwao ufilipino.