Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna pambano hapo.Nimeiona hiyo video alafu wanasema lilikuwa ni pambano la dakika 9 tu na floyd amevuta mkwanja wa Billioni 90
Kiukweli floyd bado ni tishio japo umri umeenda na ana tecknicks za ajabu jamaa anazeeka na ukali wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi
Hakuna pambano hapo.
Miaka 20 kwa 40
Physical appearence na weight difference hazinishawishi kuona kama kulikua na pambano.
Nilichokiona ni uhalalishaji wa pesa tu.
Anazeeka na ukali wake coz he fights with bums. He fights with a real boxer he becomes a runner.Nimeiona hiyo video alafu wanasema lilikuwa ni pambano la dakika 9 tu na floyd amevuta mkwanja wa Billioni 90
Kiukweli floyd bado ni tishio japo umri umeenda na ana tecknicks za ajabu jamaa anazeeka na ukali wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga mtupu.Nimeiona hiyo video alafu wanasema lilikuwa ni pambano la dakika 9 tu na floyd amevuta mkwanja wa Billioni 90
Kiukweli floyd bado ni tishio japo umri umeenda na ana tecknicks za ajabu jamaa anazeeka na ukali wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumpeleke Magufuli huko akawashikishe adabu hao[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]