Pambano lilikua staged
Hahahahahahahahahaahahhahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahhahah sijui hata kama ana degreeDakika 9, Bilioni 90. Bongo unamaliza Masters degrees yako unaenda ''Council" kuajiriwa kwa salary ya TShs. 1.5 million per 31 days, fedha halali ya kitanzania. Ama kweli, we are equal as human beings, but not the same
Bondia asiyepigika ,THE MOST ACCURATE PUNCHER, THE BEST DEFENSIVE GENIUS EVER FLOYD MAYWEATHER amkung'uta Tenshin Nasukawa round ya kwanza dakika ya kwanza sekunde ya 51 .
Mpaka sasa Floyd bado anashikilia rekodi ya kuwa undefeated, Tenshin alikuwa pia hakuwahi kupigwa kabla ya leo kupigwa vibaya tena mbaya zaidi katika nchi yao .
Pambano hili lilikuwa la round tatu kila round dakika tatu , na Floyd amefanikiwa kuingiza jumla ya bilioni 20+ ndani ya dakika mbili tu.
Who's next????
View attachment 982162
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni gross, bado hujaweka makato [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Dakika 9, Bilioni 90. Bongo unamaliza Masters degrees yako unaenda ''Council" kuajiriwa kwa salary ya TShs. 1.5 million per 31 days, fedha halali ya kitanzania. Ama kweli, we are equal as human beings, but not the same
kaa hiyo ukitaka iweje yani mkuu..!Mimi ninadhani Asukawa na team yake ni Wajinga sana, kwanza Asukawa ni master katika kick boxer na MMA, Mayweather ni pure technical boxer, isitoshe uzito wao ni tofauti, kwa vigezo hivyo nafasi ya Nasukawa kushinda ilikuwa finyu mno----ndiyo maana baada ya kukudondoshwa mara 3, team Nasukawa wakaamua kurusha taulo, kama Nasukawa angalikuwa ni pure boxer kamwe Mayweather asingekubali kucheza naye, japo wanasema ni intertainment.
Siyo kwa umri huuWewe kweli hujui chochote kuhusu ngumi.
Bondia kadri anavyozidi kuzeeka hata ule uwezo unapungua taratibu taratibu , hapo Tenshin suala la umri ndilo lililokuwa linambeba zaidi na ingekuwa rahisi zaidi kwake kushinda, chukulia mfano pambano la juzi kati ya Abdalla Pazi wa Pazi na Francis Cheka, Pazi alishinda kiurahisi zaidi kutokana na utofauti wa umri kati yake na Cheka, Cheka aliyepigana juzi na Dulla Mbabe si Cheka yule aliyefanikiwa kumaliza utawala wa ukoo wa Matumla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu akimbie kimbie ulingoni siku anapigana Manny Pacquiao sijamuelewa hata kidogo huyu jamaa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Council ya wapi hyo mkuu??unayoanza na mshahara wa mil 1.5Dakika 9, Bilioni 90. Bongo unamaliza Masters degrees yako unaenda ''Council" kuajiriwa kwa salary ya TShs. 1.5 million per 31 days, fedha halali ya kitanzania. Ama kweli, we are equal as human beings, but not the same
Yuko wapi Mwakinyo alianza madharau kabla hajatoka. Dogo angekuwa mpole kutafuta usaidiziBondia asiyepigika ,THE MOST ACCURATE PUNCHER, THE BEST DEFENSIVE GENIUS EVER FLOYD MAYWEATHER amkung'uta Tenshin Nasukawa round ya kwanza dakika ya kwanza sekunde ya 51 .
Mpaka sasa Floyd bado anashikilia rekodi ya kuwa undefeated, Tenshin alikuwa pia hakuwahi kupigwa kabla ya leo kupigwa vibaya tena mbaya zaidi katika nchi yao .
Pambano hili lilikuwa la round tatu kila round dakika tatu , na Floyd amefanikiwa kuingiza jumla ya bilioni 20+ ndani ya dakika mbili tu.
Who's next????
View attachment 982162
Sent using Jamii Forums mobile app
Pambano la Mike "iron" Tyson alilopigana akachukua ubingwa wa dunia alikuwa na miaka mingapi? Mpinzani wake naye alikuwa na miaka mingapi?Siyo kwa umri huu
Wewe mwenyewe jaribu kumchukua dogo wa miaka 20 halafu wewe ulivyo na miaka 42 mjaribu kupigana dakika 2 utamkarisha huyo atakuzidi kwenye mbio tu.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho wa Pambano Floyd anakuambia yeye ni Undefeated, na Asukwa still ni Undefeated,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mayweather mwenyewe alikuwa anapigana huku anacheka.
Hako katoto kalitolewa tu kafara na kangejaribu kukomaa hakika kangekufa.
Hili pambano ni kama kupambanisha SGA na JWTZ.