FLOYD MAYWEATHER amchakaza Tenshin Nasukawa round ya kwanza.

Bora hata angeomba mechi na mwakinyo kuliko hako katoto cha kijapani. Hakika mwakinyo angemtoa jasho
 
Huu ni Udhalilishaji mkubwa wa Boxing.

Kwanza tofauti ya weight, Body size na experience ni kubwa...umri si tatizo sana.

Boxing ya leo hata kama ni light weight ila kucheza eti round 3 za dakika 3 ni kuondoa hadhi na thamani ya boxing...! Mtu anapigana huku anacheka yaani hata kuchafuka kidg hakuna.

A serious boxing iliisha on 2000's

Nafuu Heavy weight.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...
huyu jamaa inabidi tumletee mtaalamu klitschiko sasa..
 
Mkuu hiyo haikuwa boxing kama boxing ile ilikuwa maonesho tu ya boxing na sparring za kawaida kama entertainment tu na maboxer wengi wameshawahi kufanya mfano Muhammad Alli ,Mike Tyson nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni mpenzi wa boxing jaribu kufuatilia mapambano yote ya Floyd toka ananza boxing utaona ubora wake ; alibadili style ya mchezo na kuanza kuvizia na kujilinda Mara baada ya kuumia moja ya mikono yake,

Na Mara kwa Mara kwenye mapambano yake wakati wa mapumziko utamsikia akilalamika kuumwa kwa mkono.

Ingawa ana maumivu katika mkono lakini ameweza kupigana na kushinda kwa point mapambano yake.

Niliamua kufuatilia mapambano yake na kujiidhisha kuwa jamaa ni mkali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…