Floyd Mayweather ampiku Muhammad Ally

acha utani ndani ya Sikukuu kijana
 
List hyo ni fake inaweka hw na lw kwa pamoja haiwezekani, KWANZA KABISA KAMA MIKE HAYUPO HIYO NI RUBISH KABISA, Mike Iron Tyson is the greatest boxer to ever happen, on his prime No one on that list could ever defeat him...OVA
Unajua pound for pound?
 
Lile jamaa la kuitwa wilder halipo kwenye list..lile lijamaa lina roho mbaya balaa sijui wanaopigana nalo wanajiamini nini kudadeki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaposema kukosa upinzani unamaanisha nini?
Binafsi Lennox Lewis alikuwa njema sana lkn alishawahi kupata joto la jiwe toka kwa Hasim Rahman na Oliver McCall.
Hata mie nashangaa kutomuona ktk list hii!

Lile pambano na Rahman Lewis alikiri kufanya uzembe kule south africa na waliporudiana si ulioona Rahman alivyoumuliwa kichwani? Kifupi Mpaka anamdunda Tyson na wale kina Vitali hakukua na bondia mwingine aliyeweza kusimama na Lewis katika kipindi kile.. kumbuka kuwa hata huyo Oliver McCall alipocheza na Lewis aligoma kuendelea na pambano dhidi ya lewis tena alilia kbs ulingoni .. kifupi Lewis alikuwa one of the best boxer shida ni kwamba hakuwa na mvuto tu ni kama alikua mpole mpole flani wakati bondia anatakiwa awe na vurugu vurugu sababu ya nature ya mchezo wenyewe

Hiki alichofanyiwa Rahman na Lewis kitabaki kuwa kumbukumbu ya milele katika history ya heavyweight boxing
 
Mwambie huyo bwege mpira ndo mchezo ambao hata timu ya super ligi inaweza kucheza na timu ya daraja LA nne ngumi hairuhusiwi,mtu wa heavy weight hawezi kucheza na mtu kama my weather atamuua! Vitu vingine havilinganishwi
 
Hoja yako haina ya umri haina mashiko, ni hoja ya kujinga maana huhitaji kuwepo miaka ya Ally au Tyson ili kujua kama alifanya ujinga au alifanya vibaya. Jenga hoja upya.
hoja yako inaonesha umri ni tatizo..endelea kusubiri nijenge hoja upya
 
tatizo la lewis alikua anashinda kwa point,muoga,alikua anatumia urefu wa mikono yake kudukua nyuso za wenzake ndomana watu hawakumpenda,ulingoni alikua anakimbiakimbia sana..alikua anaboa
 
hoja yako inaonesha umri ni tatizo..endelea kusubiri nijenge hoja upya
Kukuonyesha kua huna akili, nikusaidie, kujua kama Nyerere alifanya makosa au mazuri kwenye uongozi wake unahitaji kua lazima umezaliwa enzi za utawala wake?
 
Kukuonyesha kua huna akili, nikusaidie, kujua kama Nyerere alifanya makosa au mazuri kwenye uongozi wake unahitaji kua lazima umezaliwa enzi za utawala wake?
nani anajua ukali wa vita zaidi ya mpiganaji!?....utupu wa fuvu lako unajionesha katika kutusi wengine,ukikua utajua u zuzu kiasi gani
 
Rudi shule uongeze maarifa. Kichwani huna kitu kabisa.
tangu lini shule za tanzania zikaongeza maarifa!!!...si unaona we ulivyo mjinga na zaidi leo wasomi ni wengi lakini nchi inazidi tu kutopea kwenye umasikini,hata kula imekua shida wakati wa mkwawa na milambo hapakua na omba omba
 
Hadi #25 mzee Baba Mike Iron Tyson hayupo halafu mnatuambia hao ndio GOT!?

Acheni utani nyie watu!
 
&text=&source=&data=
 
Halafu sidhani kama amewahi kuangalia mkanda wowote wa Mohamed Ally ili afahamu ni kwanini anaitwa ndie Greatest Of All Time! Na mtu hawezi kupata tafsiri rasmi ya kwamba ndondi ni mchezo wa burudani endapo hajawahi kuona upiganaji wa M.A
 
Halafu sidhani kama amewahi kuangalia mkanda wowote wa Mohamed Ally ili afahamu ni kwanini anaitwa ndie Greatest Of All Time! Na mtu hawezi kupata tafsiri rasmi ya kwamba ndondi ni mchezo wa burudani endapo hajawahi kuona upiganaji wa M.A

Naam mfano ile burudani ya Kinshasa ya rumble in the jungle ndio inatoa tafsiri halisi kama Ali alikua bondia maana hakutaka watu wakose burudani alimpeleka Foreman mpaka round za mwisho ndio akammalizia watu hawakujutia viingilio vyao.. vp kuhusu Thriller in Manila ? Dah achana kbs na yule kiumbe!
 

afu mkuu sio GOT ni G.O..A.T ,,,ila sio kesi TMT kwa hayati Muhammad alli bado sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…