Floyd Mayweather awashindanisha warembo wawili kuhesabu haraka dola laki moja kitandani kwake

Naisubiri hiyo game kwa hali na mali, nna imani floyd atakula vitasa vya kuua mtu.
 
Hapo ndipo Mos Def anakwambia "out in Brooklyn, certain things you just don't do".
 
Ndio maana katika watu weusi wanamichezo na wasanii bado nawakubali Jay-Z na Dr Dre hawanaga attention they are counting bills!!!!
 
Natamani nifanye kazi nipate kama hizo note
 
halafu soon anajiunga na timu ya waliofilisika akichukua no.3 baada ya evander na tyson

Yaani sijui hata mwalimu wao nani...hawajifunzi? Nafikiri hela ikija kwa mtindo huu haimpi mtu akili ya ku-invest kwa mtindo mwingine...
 
Ngozi nyeusi akili zetu tukipata hela! Ungese huu huwezi kuusikia kwa Bill Gates. Mwingine alichonga pua na ndio ikamuua. Wazungu wataendelea kutadharau tuu!!
 
Being wealthy is a state of mind, you can be rich but not wealthy! Floyd Mayweather maybe rich but not wealthy
 
Ulimbukeni ni mzigo mzito sana aisee. Ila ndio hivyo, simshangai, maana pesa zikija nyingi ghafla bin vuuu lazima udate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…