Floyd Mayweather is the BEST fighter in the history of the world.

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
Mim ni mfatiliaj wa ngumi mda mref,nmeudhuria mapambano meng hapa nchini,..nkaona si haba nkirudia kuangalia mapambano kadhaa ya huyu jamaa,Baada ya kuangalia mapambano 20 ya floyd,nmegundua huyu jamaa is a hell of a fighter.ana akili sana na mahesab makali ya jins ya kupigana,.kila ngumi yake anayorusha ina maana,anakwepa n.k,kwa watu wasiojua ngum wataona anakimbia kimbia na sometime kurushiwa ngum nying kama anapigwa lakin ngum zote hizo ni hewa,maana hua si za point..anyways,..floyd ua the champ
 
tumekusikia TmT

mimi hapana kwakweli...
sijawahigi kumkubali huyu jamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada nkwambie kitu,.Ujue watu weng hawamkubal/wanamchukia huyu jamaa sabab ana SIFA sana pia anaongea sana,ila tukisema tutoe hayo mapungufu,..huyu jamaa ni fighter namba 1,na ndomana hajawai pigwa
 
tumekusikia TmT

mimi hapana kwakweli...
sijawahigi kumkubali huyu jamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
unawezaje kumkubali wakati umechagua kuwa hater!!mimi mwenyewe nilikuwa sijamkubali lakini nilikuwa sio hater,watu walipomponda anakimbiakimbia ulingoni ndio nikaamua kufuatilia video zake,nikagundua jamaa ana mlundikano wa vipaji vingi ulingoni,uwezo wake wa kukwepa ngumi ni wa daraja lingine,ana pigana kwa akili kubwa mnooo!!jaribu kuangalia video zake kama 20 hivi
 
kwanini humkubali? au ist because kwa matusi ya fedha anayofanya ??
wala
simkubaligi tu tangu mwaka fulani hivi alikujaga wwe akataka kumchallenge bigshow alinichefuaga sana......
kalikuaga kadogo dogo nikasema hata katoto niaje[emoji23] [emoji23] [emoji23] mbona kana dharau sana.
na hii tabia naichukia sana jitu lenye dharau ,majivuno na limbukeni
huwaga maishani mwangu simpendi....
kwahiyo jamaa hata akapiga dunia nzima sitakaaga nimkubali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada nkwambie kitu,.Ujue watu weng hawamkubal/wanamchukia huyu jamaa sabab ana SIFA sana pia anaongea sana,ila tukisema tutoe hayo mapungufu,..huyu jamaa ni fighter namba 1,na ndomana hajawai pigwa
Na ndio maana ili uwe mpenzi wa watu 95% lazima uwe na kitu kinachoitwa nidhamu na ukose kitu kinaitwa ulimbukeni.
kwasababu yoyote limbukeni hana nidhamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndio maana ili uwe mpenzi wa watu 95% lazima uwe na kitu kinachoitwa nidhamu na ukose kitu kinaitwa ulimbukeni.
kwasababu yoyote limbukeni hana nidhamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ungekuepo enz za muhamad ali ndo usingempenda kabsa,.maana sifa za floyd haziingii hata robo kwa alivyokua muhamad ally,unajua y ma blak wako hivyo,?ungejua y usingewachukia,..jamii ya watu weus marekan wanateseka sana na ubaguz had leo hii wanahesabika kama watumwa,manyanyaso ni meng,magereza ya huko yamejaa blacks tuu,na asil ya mchezo wa ngum ilikua ni mchezo,wanapiganishwa slaves enzi hizo,so ndo umeendelea had leo,sasa ndomana blacks hua wanawaringishia sana wazungu kua YES WE CAN..hata obama hua anatumia sana hii,ndomana unaona hata wanamuzik wa US wana sifa na athletes wengne wa basketball or american footbal,wakizipata lazma waonyeshe ili kuzima mziz wa fitna..so usiwachukie hawa,story ya floyd au 50cent au Tyson ukihadithiwa unaeza lia.
 
Floyd is a businessman!

Have you ever watched Mike Tyson on the ring?
What about Mohammad Ali?

They were fighters!

The difference between then and now is that, Tyson fought to kick the shit out of his opponents (and he did),

but Floyd fights only to get more points than his opponent!

- KANA -
 


sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
True dat,tyson is a legend,..champ of all time..hakuna boxer dunian aliepigana kama tyson had leo hii. he wasnt a businessman n thts y he lost mapambano yake ya mwisho.alitumia drugs,umalaya,kesi nying mara afungwe jela .walimfilisi etc,ndio maana alichanganyikiwa.na ndio maana walimpiga,..ila hakuna fighter dunian kama tyson
 
U got it bro[emoji106]
 
1.Floyd lost to Maidana ...Floyd vs Maidana 1
2.Lost to De la Hoya
3.I score Flody against Pacman draw
He lost those fights but the stupid judges give him the win..pambavu zake..
But This kids ametupa funzo,babake alienda jela akiwa na miaka 16,alikkosa nafasi kusoma aliamini katika kipaji chake kumtoa katika umaskini....pongezi kubwa kwa Rogers Mayweather na Mayweather Senior...
 
Mtu mwenyewe anapgana Middle weight.
Hajafkia hata robo ya great fighters in the world.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na hayo mkuu...
kama wewe mwamba,mwamba tu hata usipo show off.....!
na ndio maana wahenga wanasema "Maskini akipata matako hulia mbwata"
umasikini sio kukosa pesa tu, kuna watu wana pesa halafu wana fikra za kimasikini.
ndio hizi sasa za mayweather, mimi naamini kama mnavosema anajua, basi hata bila show off anajua tu... haina haja ya kuprove kwa show off ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mayweather amepata respect yangu baada ya kumtandika McGregor. Kabla ya hapo nah.

Ila inabidi tukubali kuwa McGregor 0-0-0 ni noma. Kumudu 9 rounds bila experience yeyote ya boxing kwa Mayweather 49-0-0.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…