Joto Balaa
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,141
- 770
Wewe hujiamini na ulicho nacho na jinsi ulivyo yeye anajikubali, anatumia pesa kwa sababu anajua kuzitafuta na ana uhakika wa kuzipata, anafanya kaz kwa bidii na akili juuwala
simkubaligi tu tangu mwaka fulani hivi alikujaga wwe akataka kumchallenge bigshow alinichefuaga sana......
kalikuaga kadogo dogo nikasema hata katoto niaje[emoji23] [emoji23] [emoji23] mbona kana dharau sana.
na hii tabia naichukia sana jitu lenye dharau ,majivuno na limbukeni
huwaga maishani mwangu simpendi....
kwahiyo jamaa hata akapiga dunia nzima sitakaaga nimkubali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo nawewe ni wale wachache mliolishwa mayweather promotion bullshit mkaamini...hivi kweli MacGregor ambaye pambano alilokaa mda mrefu ulingoni ni la may weather angeweza simama na kisiki kilichotoa TKO shinda mapambano 50 ..all in all may weather I think is greatest sposrtman of his time....boxing has better legends than him..yeye pamoja na kurusharusha Ela hewani ila its all marketing strategy azidi onekana anahela nyingi..ili aweze demand better deals akiwa ulingoniMayweather amepata respect yangu baada ya kumtandika McGregor. Kabla ya hapo nah.
Ila inabidi tukubali kuwa McGregor 0-0-0 ni noma. Kumudu 9 rounds bila experience yeyote ya boxing kwa Mayweather 49-0-0.
wewe ni shabiki wake ,sitaweza kukubishiaWewe hujiamini na ulicho nacho na jinsi ulivyo yeye anajikubali, anatumia pesa kwa sababu anajua kuzitafuta na ana uhakika wa kuzipata, anafanya kaz kwa bidii na akili juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumba1.Floyd lost to Maidana ...Floyd vs Maidana 1
2.Lost to De la Hoya
3.I score Flody against Pacman draw
He lost those fights but the stupid judges give him the win..pambavu zake..
But This kids ametupa funzo,babake alienda jela akiwa na miaka 16,alikkosa nafasi kusoma aliamini katika kipaji chake kumtoa katika umaskini....pongezi kubwa kwa Rogers Mayweather na Mayweather Senior...
Hujui ngumi bro,we cheza bao tu..sabab boxing sio heavy weight peke yake..its like useme,uref wa binadam ni kuanzia 6ft peke yake,inamana walio chin ya ft 6 sio watu sio? Have a brain kidogoMtu mwenyewe anapgana Middle weight.
Hajafkia hata robo ya great fighters in the world.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeanza kufuatilia boxing juzi,majaji ni binadamu wa kawaida na wanahongeka, nadhani hujui bocing politics...endelea na ushabiki wako maandazi..nilichoandika ni maoni yangu binafsi diyo lazima nikubaliane na wewe...Pumba
Kwahiyo Mayweather kahonga mapambano yake yote 50?Umeanza kufuatilia boxing juzi,majaji ni binadamu wa kawaida na wanahongeka, nadhani hujui bocing politics...endelea na ushabiki wako maandazi..nilichoandika ni maoni yangu binafsi diyo lazima nikubaliane na wewe...
Hapana sijasema hivyo, ila kuna mengine hakustahili kupewa ushindi..
Hapana sijasema hivyo, ila kuna mengine hakustahili kupewa ushindi..
Wazungu wasivyompenda huyo mtu unafikiri ni rahisi kufanya hivyo?Hapana sijasema hivyo, ila kuna mengine hakustahili kupewa ushindi..
Again,..pumba..dude stop shitting,u gon burst ua Ass.Umeanza kufuatilia boxing juzi,majaji ni binadamu wa kawaida na wanahongeka, nadhani hujui bocing politics...endelea na ushabiki wako maandazi..nilichoandika ni maoni yangu binafsi diyo lazima nikubaliane na wewe...
Kama mimi nisivyomkubali kibatumekusikia TmT
mimi hapana kwakweli...
sijawahigi kumkubali huyu jamaa!
Sent using Jamii Forums mobile app