Floyd Mayweather: Why should I donate money to Africa?

Super Handsome

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
3,844
Reaction score
6,448
Ni maneno yake huyo mwana masumbwi! mtazame na kumsikiliza..

 
Last edited by a moderator:
Waafrika tushazoea donation washammind mshikaji hapo!
 
Hata mimi ningekuwa jamaa ningemuunga mkono
 
Mwehu tu huyo na kina Bill Gates wasemaje? Babu zako wameenda kama Makuli huko Asa hivi anajiona Glazer usikute ana asili ya Mtwara
 
hela zenyewe zikija huku zinaliwa na mafisadi
 
Abaki nazo tu, ndio zinazidi kuwatia waafrika ujinga. Kwanza kwa nini wanawauliza maswali ya kipuuzi kama hayo??!!
 
Kie kie kie kie KIBRI IMEMJAA

namuunga mkono, Africa tuna mali asili nyingi ambazo kama tungezitumia vizuri basi leo hii sisi ndo tungekuwa tunadonate huko ulaya. ni upuuzi, uvivu, ufisadi, ujinga, unafiki ndivyo vilivyo tufikisha hapa na kwa mtindo tunaoenda nao hata wajukuu wa wajukuu zako hawatakuja kuona maendeleo yafananayo na ulaya hata robo tu.
 
Reactions: prs
Alikuwepo Tyson na Michael Jackson wapo wapi?
 
Kwan lazima au sheria kudonate huku pesa... waafrika waache kujidharau bana
 
Watu wanaopigana ngumi hawana akili nzuri! Trust me.
Ubongo wako hauwezi kuwa sawa kwenye pambano moja unapigwa ngumi zaidi ya elfu kichwani!!
 
Naunga mkono huyo bondia,,, sioni sababu ya yeye kudonate while uwezo na akili ya kazi tunayo waafrika inabidi tujitambue
 
Watu wanaopigana ngumi hawana akili nzuri! Trust me.
Ubongo wako hauwezi kuwa sawa kwenye pambano moja unapigwa ngumi zaidi ya elfu kichwani!!

Ukweli ndo huo kuisaidia Afrika ni dhambi moja kubwa sana!
 
Mwehu tu huyo na kina Bill Gates wasemaje? Babu zako wameenda kama Makuli huko Asa hivi anajiona Glazer usikute ana asili ya Mtwara

Kabla hujamtukana ni vyema ukajibu kwanza swali lake. "WHY SHOULD I DONATE MONEY TO AFRIKA".
 
Ana haki ya kuuliza hivyo. Nyie si mliwauza kama watumwa. Sasa hivi mnataka pesa zao tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…