Z zebingwa Member Joined Oct 6, 2024 Posts 33 Reaction score 71 Oct 7, 2024 #1 Kwa miaka miwili nimegundua ni bora tungejenga barbara nyingi za pembezoni, juzi flyovers ni prestige tu hazisolve tatizo la foleni
Kwa miaka miwili nimegundua ni bora tungejenga barbara nyingi za pembezoni, juzi flyovers ni prestige tu hazisolve tatizo la foleni
ngoja ngoja JF-Expert Member Joined Jun 20, 2024 Posts 673 Reaction score 1,526 Oct 7, 2024 #2 Fly over zinge tatua changa moto ya foleni kama barabara nazo zingekua ni pana Refer barabara ya nyerere na kilwa road fly.
Fly over zinge tatua changa moto ya foleni kama barabara nazo zingekua ni pana Refer barabara ya nyerere na kilwa road fly.
MOTOCHINI JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 28,064 Reaction score 31,401 Oct 7, 2024 #3 Shida ya Barabara za ni Kuwa Njia Nne Karne hii mji mkubwa kama Da Inakuwa na Vinjia 4 Bara bara Muhimu na Kuu kweli? Fly Over zenyewe Zipo zipo tu kama Kidaraja Haziendi na Wakati uliopo Fly over za Kimasikini Sana zisizo na Malengo ya Kesho
Shida ya Barabara za ni Kuwa Njia Nne Karne hii mji mkubwa kama Da Inakuwa na Vinjia 4 Bara bara Muhimu na Kuu kweli? Fly Over zenyewe Zipo zipo tu kama Kidaraja Haziendi na Wakati uliopo Fly over za Kimasikini Sana zisizo na Malengo ya Kesho