Unafikiria nini?Ununua wapi?
una link ya wanaouza hizo drones?
Ununua wapi?
una link ya wanaouza hizo drones?
Mkuu unapokaa kuna watu wenye vyoo vya nje visivyo na paa aka passport size?
hapana mkuu... lakini for security reasons i will remove camera kwenye hio drone. unanishauri vp?