FM vs SW, LW, MW

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,191
Reaction score
8,490
siku hizi karibia kila kituo cha redio ni cha masafa ya FM,
1. kuna faida gani kutumia fm.
2. kwa nini pia mfano LW(ipo kwenye redio nyingi za zamani) sijawahi kusikia hata kituo kimoja kikitumia hiyo.
3. mamlaka zinawezaje kusimamia kituo kimoja kutotumia masafa yanayotumiwa na kituo kingine kwenye nchi nyingine, hasa kwa yale masafa yanayofika mbali zaidi mfano SW.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…