🤣🤣🤣 kwa mfano 🤒Kwahiyo unatakaje.?
Habari wananzengo! Kama bado hujafika Mlandizi kutokea Chalinze, Kuna kamba 1 matata kuanzia kwa kiipofu kuelekea Misugusugu mpk Kibaha.
Mm binafsi nimekwama hapa MAILIN35, Gari hazitembei Dk 30 sasa. Anaweza kuchepuka kuhamia Barabara ya zmn ni heri kwake!
okay halafu unakuja kukutana na kafoleni huku tegeta kuelekea town sio,Nikitoka morogoro mimi napitia tu kwa Jakaya kikwete, naelekea bagamoyo, ingawa ina michepuko mingi ila ni 11km tu, na nyingine kama 15 mpaka pa kupanda Bagamoyo, hilo libra barabara lenu halina maana
Hamieni bushi hakuna jam😊
okay halafu unakuja kukutana na kafoleni huku tegeta kuelekea town sio,
maana magari yote yanapita njia kuu michepuko imejaa maji na tope 🐒
Magufuli angeshaanza ujenzi wa njia nne dar chalinze!.Miaka kumi kikwete hakuangalii hii barabara.
Kuna watu miaka 5 washajenga eapot kwao
Habari wananzengo! Kama bado hujafika Mlandizi kutokea Chalinze, Kuna kamba 1 matata kuanzia kwa kiipofu kuelekea Misugusugu mpk Kibaha.
Mm binafsi nimekwama hapa MAILIN35, Gari hazitembei Dk 30 sasa. Anaweza kuchepuka kuhamia Barabara ya zmn ni heri kwake!ab
Ahsante kwa taarifa.Habari wananzengo! Kama bado hujafika Mlandizi kutokea Chalinze, Kuna kamba 1 matata kuanzia kwa kiipofu kuelekea Misugusugu mpk Kibaha.
Mm binafsi nimekwama hapa MAILIN35, Gari hazitembei Dk 30 sasa. Anaweza kuchepuka kuhamia Barabara ya zmn ni heri kwake!