Foleni ya kuoga ya nyumba za kupanga

Foleni ya kuoga ya nyumba za kupanga

Gily Gru

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
8,632
Reaction score
23,673
Kwenye nyumba za kupanga moja hivi kuna mpangaji mmoja huwa anachukua mda mrefu kuoga, akiingia yeye lazima achukue dakika kam arobaini. Wapangaji wenzake wanachukia Sana maana inawabidi wasubiri mda mrefu atoke na wengi huchelewa asubuhi.

Mama mwenye nyumba leo kamtolea uvivu kamwambia “wewe usiku huwa unaoga na asubuhi unaoga tena alafu usiku unalala mwenyewe”. Mama mwenye nyumba kazidi kukazia “Kuna watu hata waelimishwe vipi hawawezi elewa mpaka waingie masomo ya ziada

Jamaa akatoka bafuni anakutana uso kwa uso na mama mwenye nyumba anamsubiri nje ya bafu. Mama mwenye nyumba akamkata jicho la hasira akabwata “Mtu mwenyewe unaogea ndoo ndogo alafu unatoka na mapovu masikioni”

Jamaa kanuna siku nzima kachukizwa na majungu ya mama mwenye nyumba eti usiku huwa unaoga na asubuhi unaoga tena alafu usiku unalala mwenyewe.

1583868452431.jpeg
 
Hivi ni kitu gani kinampelekea mtu kuchukua mda mrefu kuoga? Unachukua dakika ngapi kuoga?

Nafikiri labda kwa sababu ya joto pale mtu anapotoka kuoga jasho linamtoka au kuna watu huwa wananyoa ndevu kila siku kwa hiyo inabidi achukue mda kuzinyoa

1583868500235.png
 
Kuna kitu/tabia kinaitwa bathing while dancing and singing.....

Hata njaa inapotea, na sauti inaongezeka bila kujua....ukijastuka maji kwenye tenki yameisha...

K' Matata.

Hainogi kwenye nyumba ya kupanga choo kimoja

Ukiwa choo chako wenyewe self labda

I think people do sing in bathroom to take stress off, and probably they will take long to shower
 
Hainogi kwenye nyumba ya kupanga choo kimoja

Ukiwa choo chako wenyewe self labda

I think people do sing in bathroom to take stress off, and probably they will take long to shower
Kukaa bafuni au chooni muda mrefu ni ugonjwa Kuna majin yakikumba hukufanya upende Sana kukaa muda mrefu choon au bafuni

kilicho akilini kitumie
 
Kukaa bafuni au chooni muda mrefu ni ugonjwa Kuna majin yakikumba hukufanya upende Sana kukaa muda mrefu choon au bafuni

kilicho akilini kitumie

Duh bafuni kuna mengi sana
Kuna nyumba nikiwa mdogo mzee wangu alitaka kupanga ila sheria ilikuwa ukiingia chooni lazima uingie pekupeku. Mzee akashtuka akaenda kupanga kwingine na ndipo alipopata akili ya kujenga nyumba yake mwenyewe
 
CHAPUTA huyo jamaa
huwezi chukua kidoo cha lita 5 au 10 na kichelema/sabuni ya mche wa mbuni
dk 40 ataumia aombe ushauri toka kwa wanachama watamsaidia

Hahahah chaputa ina wanachama wengi sana. Inabidi waanzishiwe wizara yao rasmi watambulike ili wapate haki zao za msingi
 
Choo na bafu vipo sehemu moja, nje kuna foleni ya wapangaji wengine, choo chenyewe kinaishia mabegani. Alaf uanze kuoga huku una dance na kuimba? Ukitoka unakuta kuna kikao cha dharura, wapangaji wengine wanakusubiria.
Kuna kitu/tabia kinaitwa bathing while dancing and singing.....

Hata njaa inapotea, na sauti inaongezeka bila kujua....ukijastuka maji kwenye tenki yameisha...

K' Matata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom