Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Hii ni kwa wale ambao
1. Wako single
Ivi jaman mlio singo mnaona kama mnaelekea kuingia kwenye mahusiano kweli??
Mnaonaje foleni ya kukaa kuwa singo inaenda au haiendi?
2. Mlio kwenye mahusiano
Mnaona kama mahusiano yanasomeka kweli au mauza uza?
Unaona unaolewa soon au hamna kitu?
Ushafumania sms au simu ngap za mpenzi wako zisizo zako?
Je foleni ya penzi lenu inaenda kweli?
3. Mlio kwenye ndoa
Hali inaendaje huko kwa ndoa wapendwa?
Penzi lenu la honey moon stage bado ndio mnatembea nalo au kitumbua kimeingia mchanga? Je michepuko ipo au imeondoka yote?
Vipi wale wachumba ambao walitarajiwa waolewe ukaolewa wewe na wale ma ex uliowaacha wanasemaje baada ya kuingia kwenye ndoa?
Kusema kweli foleni ya mapenzi ni kama haiendi huku mtaani, sijaelewa kuna shida gani ila tunaomba nyie mliopo mbele mkaweka foleni, tafadhali fanyeni haraka watu wanakufa huku."
Alisikika muhuni mmoja kwenye kipindi cha redio akituma salamu
1. Wako single
Ivi jaman mlio singo mnaona kama mnaelekea kuingia kwenye mahusiano kweli??
Mnaonaje foleni ya kukaa kuwa singo inaenda au haiendi?
2. Mlio kwenye mahusiano
Mnaona kama mahusiano yanasomeka kweli au mauza uza?
Unaona unaolewa soon au hamna kitu?
Ushafumania sms au simu ngap za mpenzi wako zisizo zako?
Je foleni ya penzi lenu inaenda kweli?
3. Mlio kwenye ndoa
Hali inaendaje huko kwa ndoa wapendwa?
Penzi lenu la honey moon stage bado ndio mnatembea nalo au kitumbua kimeingia mchanga? Je michepuko ipo au imeondoka yote?
Vipi wale wachumba ambao walitarajiwa waolewe ukaolewa wewe na wale ma ex uliowaacha wanasemaje baada ya kuingia kwenye ndoa?
Kusema kweli foleni ya mapenzi ni kama haiendi huku mtaani, sijaelewa kuna shida gani ila tunaomba nyie mliopo mbele mkaweka foleni, tafadhali fanyeni haraka watu wanakufa huku."
Alisikika muhuni mmoja kwenye kipindi cha redio akituma salamu